Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Mamia ya wanachuo waandamana nchini Algeria dhidi ya Bouteflika

    Mamia ya wanachuo waandamana nchini Algeria dhidi ya Bouteflika

    Feb 27, 2019 04:28

    Mamia ya wanafunzi wa vyuo vikuu wa Algeria wamefanya maandamano katika barabara za mji mkuu wa nchi hiyo Algiers, kupinga mpango wa rais wa nchi hiyo Abdulaziz Bouteflika, kugombea tena urais kwa muhula wa tano.

  • Makumi ya watu wakamatwa Algeria kwa kupinga rais Bouteflika kugombea tena urais kwa mara ya tano

    Makumi ya watu wakamatwa Algeria kwa kupinga rais Bouteflika kugombea tena urais kwa mara ya tano

    Feb 23, 2019 12:17

    Askari usalama wa Algeria wamewatia mbaroni watu 41 katika maandamano ya wananchi wenye hasira yaliyofanyika kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Algiers, kupinga rais wa nchi hiyo Abdelaziz Bouteflika, ambaye ni mgonjwa, kugombea tena urais kwa muhula wa tano.

  • Waalgeria wapinga Bouteflika kugombea tena kiti cha rais

    Waalgeria wapinga Bouteflika kugombea tena kiti cha rais

    Feb 17, 2019 08:51

    Makundi mbalimbali ya wananchi wa Algeria wamefanya maandamano leo wakipinga uamuzi wa Rais wa sasa wa nchi hiyo, Abdelaziz Bouteflika kugombea kiti hicho kwa mara ya tano.

  • Rais wa Algeria (81) asema atagombea muhula wa tano wa urais

    Rais wa Algeria (81) asema atagombea muhula wa tano wa urais

    Feb 11, 2019 04:21

    Rais Abdulaziz Bouteflika wa Algeria ametangaza kuwa atagombea muhula wa tano wa kiti cha rais, katika uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mwezi Aprili mwaka huu.

  • Spika Larijani: Magaidi ni jeshi la Marekani Mashariki ya Kati

    Spika Larijani: Magaidi ni jeshi la Marekani Mashariki ya Kati

    Jan 31, 2019 01:02

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge la Iran) amesema kuwa Marekani sasa inawahamisha magaidi kuwatoa sehemu moja na kuwapeleka sehemu nyingine baada ya kuwatumia kama wenzo wa kutimiza malengo yake.

  • Waalgeria wengi wanapinga safari ya bin Salman nchini mwao

    Waalgeria wengi wanapinga safari ya bin Salman nchini mwao

    Dec 02, 2018 04:23

    Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa na gazeti la al Shuruq la Algeria unaonesha kuwa asilimia 72.5 ya wananchi wa nchi hiyo wanapinga ziara ya Mohammed bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia nchini mwao.

  • Nchi za Afrika zasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi

    Nchi za Afrika zasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi

    Nov 27, 2018 21:44

    Nchi zinazoshiriki mkutano wa kimataifa wa kupambana na ugaidi nchini Algeria zimetangaza kwamba, ushirikiano wa nchi za magharibi mwa Afrika unaweza kuwa na mchango mkubwa katika mapambano dhidi ya ugaidi.

  • Serikali ya Algeria yalaani mauaji ya Khashoggi, upinzani dhidi ya safari ya bin Salman waongezeka

    Serikali ya Algeria yalaani mauaji ya Khashoggi, upinzani dhidi ya safari ya bin Salman waongezeka

    Nov 26, 2018 12:13

    Huku kukiwa na habari ya uwezekano wa mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia kutembelea Algeria na kuongezeka upinzani wa wananchi wa nchi hiyo dhidi ya ziara hiyo, serikali ya Algiers imelaani rasmi mauaji ya Jamal Ahmad Khashoggi, mwandishi wa habari aliyekuwa akiukosoa utawala wa Aal Saud.

  • Gaidi mmoja Algeria aelezea namna Marekani inavyoshirikiana na magaidi wa ISIS

    Gaidi mmoja Algeria aelezea namna Marekani inavyoshirikiana na magaidi wa ISIS

    Nov 04, 2018 23:44

    Gaidi mmoja wa Algeria ambaye wakati fulani alijiunga na genge la kigaidi la Daesh (ISIS) nchini Syria ameiambia Mahakama ya al Dar al Baydhaa ya Algeria kuwa, wakati alipoingia Syria alipokewa na afisa mmoja wa jeshi la Marekani na kumpa mafunzo ya kutumia silaha yeye na wenzake kadhaa.

  • Ukosoaji wa Bunge la Afrika kwa muamala wa kindumakuwili wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na wahajiri haramu

    Ukosoaji wa Bunge la Afrika kwa muamala wa kindumakuwili wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na wahajiri haramu

    Oct 29, 2018 06:20

    Bunge la Afrika (PAP) limekosoa undumakuwili wa Umoja wa Mataifa katika kuamiliana na nchi za Kiafrika na za Ulaya kwenye kadhia nzima ya kukabiliana na tatizo la wahajiri haramu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS