Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Naibu Spika wa Bunge la Afrika: Libya na Algeria ni wahanga wa uhajiri haramu

    Naibu Spika wa Bunge la Afrika: Libya na Algeria ni wahanga wa uhajiri haramu

    Oct 29, 2018 04:44

    Naibu Spika wa Bunge la Afrika (PAP) amesema Libya na Algeria ni wahanga wa uhajiri haramu barani humo.

  • Algeria na Mauritania zakutana kuzungumzia Sahara Magharibi

    Algeria na Mauritania zakutana kuzungumzia Sahara Magharibi

    Oct 22, 2018 23:32

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Algeria na Mauritania wameitisha kikao cha pamoja cha kujadili hatima ya Sahara Magharibi inayopigania uhuru wake kutoka kwa Morocco.

  • Maulamaa Algeria walalamikia marufuku ya vazi la Burqa makazini

    Maulamaa Algeria walalamikia marufuku ya vazi la Burqa makazini

    Oct 21, 2018 11:17

    Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu ya nchini Algeria imelalamikia uamuzi wa serikali ya nchi hiyo wa kupiga marufuku kuvaliwa na wanwake wa Kiislamu vazi la Burqa katika maeneo ya kazi.

  • Algeria: Afrika imedhulumika katika Umoja wa Mataifa

    Algeria: Afrika imedhulumika katika Umoja wa Mataifa

    Sep 30, 2018 04:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema, Afrika imedhulumika katika Umoja wa Mataifa na kwenye Baraza la Usalama la umoja huo na kwa hivyo dhulma hiyo inapasa iondolewe.

  • Ubeberu wa Marekani haubakishi mtu, sasa ni zamu ya Algeria

    Ubeberu wa Marekani haubakishi mtu, sasa ni zamu ya Algeria

    Sep 29, 2018 11:14

    Msemaji wa ubalozi wa Marekani mjini Algiers amesema kuwa, Washington hivi sasa inachunguza uwezekano wa kuiwekea vikwazo Algeria kutokana na kununua silaha kutoka Russia.

  • Wanasheria wa Algeria: Ufaransa inapasa kuwalipa fidia wahanga wa ukoloni nchini Algeria

    Wanasheria wa Algeria: Ufaransa inapasa kuwalipa fidia wahanga wa ukoloni nchini Algeria

    Sep 16, 2018 02:59

    Mwanasheria mmoja wa haki za binadamu nchini Algeria ametaka Paris ilipe gharama na fidia kufuatia kukiri serikali ya Ufaransa kuwatesa na kuwaua wale wote waliokuwa wakiunga mkono mapinduzi ya Algeria.

  • Kamanda wa Jeshi la Libya adai, jeshi la Algeria limeivamia Libya

    Kamanda wa Jeshi la Libya adai, jeshi la Algeria limeivamia Libya

    Sep 09, 2018 11:33

    Kamanda wa jeshi la taifa la Libya amedai kuwa Algeria imeingiza wanajeshi wake katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Libya yajiweka katika hali ya tahadhari kufuatia mripuko wa kipindupindu nchini Algeria

    Libya yajiweka katika hali ya tahadhari kufuatia mripuko wa kipindupindu nchini Algeria

    Aug 27, 2018 03:30

    Wizara ya Afya ya Libya imetangaza kuwa hali ya tahadhari imetangazwa nchini humo kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu kufuatia mripuko wa ugonjwa huo uliotokea katika nchi jirani ya Algeria.

  • Watoto wawili wauawa kwa mripuko wa bomu nchini Algeria

    Watoto wawili wauawa kwa mripuko wa bomu nchini Algeria

    Aug 19, 2018 10:21

    Mripuko wa bomu moja lililotengenezwa kienyeji umepelekea watoto wadogo wawili kuuawa na kujeruhiwa watu wengine wanne nchini Algeria.

  • Wahajiri haramu zaidi ya 100 waokolewa katika eneo la mpaka wa pamoja wa Niger na Algeria

    Wahajiri haramu zaidi ya 100 waokolewa katika eneo la mpaka wa pamoja wa Niger na Algeria

    Aug 12, 2018 03:01

    Shirika la Kimataifa la Uhajiri limetangaza kuwa wahajiri zaidi ya 100 kutoka nchi za Afrika wameokolewa katika eneo la mpaka wa pamoja wa Niger na Algeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS