-
Naibu Spika wa Bunge la Afrika: Libya na Algeria ni wahanga wa uhajiri haramu
Oct 29, 2018 04:44Naibu Spika wa Bunge la Afrika (PAP) amesema Libya na Algeria ni wahanga wa uhajiri haramu barani humo.
-
Algeria na Mauritania zakutana kuzungumzia Sahara Magharibi
Oct 22, 2018 23:32Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Algeria na Mauritania wameitisha kikao cha pamoja cha kujadili hatima ya Sahara Magharibi inayopigania uhuru wake kutoka kwa Morocco.
-
Maulamaa Algeria walalamikia marufuku ya vazi la Burqa makazini
Oct 21, 2018 11:17Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu ya nchini Algeria imelalamikia uamuzi wa serikali ya nchi hiyo wa kupiga marufuku kuvaliwa na wanwake wa Kiislamu vazi la Burqa katika maeneo ya kazi.
-
Algeria: Afrika imedhulumika katika Umoja wa Mataifa
Sep 30, 2018 04:14Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema, Afrika imedhulumika katika Umoja wa Mataifa na kwenye Baraza la Usalama la umoja huo na kwa hivyo dhulma hiyo inapasa iondolewe.
-
Ubeberu wa Marekani haubakishi mtu, sasa ni zamu ya Algeria
Sep 29, 2018 11:14Msemaji wa ubalozi wa Marekani mjini Algiers amesema kuwa, Washington hivi sasa inachunguza uwezekano wa kuiwekea vikwazo Algeria kutokana na kununua silaha kutoka Russia.
-
Wanasheria wa Algeria: Ufaransa inapasa kuwalipa fidia wahanga wa ukoloni nchini Algeria
Sep 16, 2018 02:59Mwanasheria mmoja wa haki za binadamu nchini Algeria ametaka Paris ilipe gharama na fidia kufuatia kukiri serikali ya Ufaransa kuwatesa na kuwaua wale wote waliokuwa wakiunga mkono mapinduzi ya Algeria.
-
Kamanda wa Jeshi la Libya adai, jeshi la Algeria limeivamia Libya
Sep 09, 2018 11:33Kamanda wa jeshi la taifa la Libya amedai kuwa Algeria imeingiza wanajeshi wake katika ardhi ya nchi hiyo.
-
Libya yajiweka katika hali ya tahadhari kufuatia mripuko wa kipindupindu nchini Algeria
Aug 27, 2018 03:30Wizara ya Afya ya Libya imetangaza kuwa hali ya tahadhari imetangazwa nchini humo kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu kufuatia mripuko wa ugonjwa huo uliotokea katika nchi jirani ya Algeria.
-
Watoto wawili wauawa kwa mripuko wa bomu nchini Algeria
Aug 19, 2018 10:21Mripuko wa bomu moja lililotengenezwa kienyeji umepelekea watoto wadogo wawili kuuawa na kujeruhiwa watu wengine wanne nchini Algeria.
-
Wahajiri haramu zaidi ya 100 waokolewa katika eneo la mpaka wa pamoja wa Niger na Algeria
Aug 12, 2018 03:01Shirika la Kimataifa la Uhajiri limetangaza kuwa wahajiri zaidi ya 100 kutoka nchi za Afrika wameokolewa katika eneo la mpaka wa pamoja wa Niger na Algeria.