-
Vyama vya upinzani Angola vyaenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi
Sep 09, 2017 07:57Vyama vitatu vya upinzani nchini Angola vimewasilisha malalamiko mahakamani dhidi ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo hivi karibuni, ambapo chama tawala cha MPLA kilitangazwa kuibuka mshindi.
-
Upinzani Angola waitaka tume ya uchaguzi kufafanua matokeo yake
Aug 27, 2017 07:39Kinara wa chama kikuu cha upinzani nchini Angola ameitaka tume ya uchaguzi nchini humo kutoa ufafanuzi na maelezo ya kina kuhusu namna ilivyokipa ushindi wa kishindo chama tawala nchini humo.
-
Wananchi wa Angola washiriki katika uchaguzi wa Bunge huku Rais Dos Santos akistaafu
Aug 23, 2017 13:51Wananchi wa Angola waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wameelekea katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kuchagua wawakilishi wa Bunge ambao ndio watakaomchagua Rais mpya wa nchi hiyo katika Uchaguzi wa kihistoria, unaomaliza uongozi wa Rais Jose Eduardo Dos Santos aliyeongoza nchi hiyo kwa miaka 38.
-
EU haitatuma timu ya waangalizi wa uchaguzi nchini Angola
Jul 29, 2017 02:22Umoja wa Ulaya umefuta mpango wa kutuma timu ya waangalizi wake katika uchaguzi wa Angola unaofanyika mwezi ujao, baada ya serikali ya Luanda kutokubali baadhi ya masharti yake.
-
UN inahitaji dola milioni 65 kwa ajili ya wakimbizi wa DRC
Jun 14, 2017 04:19Umoja wa Mataifa umesema unahitaji makumi ya mamilioni ya dola kwa ajili ya wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo waliokimbilia nchi jirani ya Angola.
-
UN yatuma misaada kwa raia wa Kongo DR nchini Angola
Apr 30, 2017 16:03Umoja wa Mataifa umelazimika kutumia usafiri wa ndege kutuma misaada yake ya kibinadamu kwa makumi ya maelfu ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioko nchini Angola.
-
Rais wa Angola aafiki uchaguzi mkuu ufanyike Agosti 23
Apr 27, 2017 04:33Rais Jose Eduardo dos Santos wa Angola amesaini dikrii inayoruhusu tarehe 23 Agosti mwaka huu kuwa siku ya kufanyika uchaguzi mkuu nchini humo.
-
Zaidi ya raia elfu 9 wa Kongo DR wakimbilia Angola kutafuta hifadhi
Apr 18, 2017 15:37Maelfu ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekimbilia nchi jirani ya Angola kwenda kuomba hifadhi kutokana na kushtadi machafuko nchini mwao.
-
Machafuko yashtadi Kongo DR, Angola yafunga mpaka wake na nchi hiyo
Mar 31, 2017 14:55Serikali ya Angola imeamua kufunga mpaka wa nchi hiyo na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutokana na kushtadi machafuko katika mkoa wa Kasai, kusini mwa DRC.
-
Angola yailaumu Ureno, yasema hukumu dhidi ya Makamu wa Rais ni hujuma
Feb 25, 2017 07:55Serikali ya Angola imetangaza kuwa, uamuzi wa serikali ya Ureno wa kumtuhumu Makamu wa Rais wa nchi hiyo, Manuel Domingos Vicente kuwa ametoa rushwa na kutakatisha fedha chafu ni "hujuma nzito" na kwamba inatishia uhusiano kati ya nchi mbili.