Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Angola

  • Watu 17 wafariki dunia katika msongamano kwenye uwanja wa mpira nchini Angola

    Watu 17 wafariki dunia katika msongamano kwenye uwanja wa mpira nchini Angola

    Feb 11, 2017 07:23

    Watu 17 wamefariki dunia na makumi ya wengine kujeruhiwa nchini Angola baada ya kutokea msongamano mkubwa katika uwanja mmoja wa mpira kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Rais Dos Santos wa Angola hatagombea tena urais

    Rais Dos Santos wa Angola hatagombea tena urais

    Feb 03, 2017 14:19

    Rais Jose Eduardo do Santos wa Angola amethibitisha leo kuwa hatagombea tena urais katika uchaguzi wa mwaka huu na hivyo atahitimisha utawala wake wa miaka 38 katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.

  • Angola yaripoti kesi mbili za kwanza za ugonjwa wa Zika

    Angola yaripoti kesi mbili za kwanza za ugonjwa wa Zika

    Jan 12, 2017 07:25

    Angola jana ilitangaza kuwa imesajili kesi mbili za awali za kirusi cha Zika, ikiwa imepita miezi mitatu baada ya kudhibitiwa mlipuko wa ugonjwa wa homa ya manjano ambao umeuwa nchini humo watu wasiopungua 400.

  • Rais  Dos Santos wa Angola kuachia ngazi mwaka 2017

    Rais Dos Santos wa Angola kuachia ngazi mwaka 2017

    Dec 03, 2016 14:20

    Imedokezwa kuwa Rais Jose Eduardo dos Santos wa Angola, ambaye amekuwa madarakani tokea mwaka 1979, hatasimama tena katika uchaguzi wa rais utakaofanyika nchini humo mwakani.

  • Waasi wa FLEC wadai kuua askari 18 wa jeshi la Angola

    Waasi wa FLEC wadai kuua askari 18 wa jeshi la Angola

    Oct 01, 2016 07:58

    Waasi wa kundi linalopigania kujitenga eneo la Cabinda nchini Angola (FLEC) wamedai kwamba wameua askari 18 wa nchi hiyo.

  • Wanajeshi 12 wa Angola wauawa na waasi wa Cabinda

    Wanajeshi 12 wa Angola wauawa na waasi wa Cabinda

    Sep 07, 2016 13:14

    Waasi wa kundi la FLEC linalopigania kujitenga eneo la Cabinda huko Angola wamedai kuwa wameua wanajeshi wa serikali wasiopungua 12 katika eneo tajiri kwa mafuta kusini mwa nchi hiyo.

  • Waasi wa FLEC wadai kuua askari 17 wa jeshi la Angola

    Waasi wa FLEC wadai kuua askari 17 wa jeshi la Angola

    Aug 02, 2016 07:57

    Waasi wa kundi linalopigania kujitenga eneo la Cabinda nchini Angola FLEC wamedai kwamba wameua askari 17 wa nchi hiyo katika makabiliano makali yaliyojiri mwishoni mwa wiki iliyomalizika.

  • Dola milioni 1.4 zahitajika kukabili homa ya manjano Angola

    Dola milioni 1.4 zahitajika kukabili homa ya manjano Angola

    Jul 08, 2016 04:18

    Shirika la Msalaba Mwekundu limesema linahitajia dola milioni 1.4 za Marekani ili kukabili maambukizi mapya ya homa ya manjano nchini Angola.

  • Angola, Misri kuishawishi UN kuziondolea vikwazo CAR na S/Kusini

    Angola, Misri kuishawishi UN kuziondolea vikwazo CAR na S/Kusini

    Jun 22, 2016 04:04

    Angola na Misri zimesema zitazishawishi nchi wanachama wasio wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zikubali wazo la kuondolewa vikwazo Jamhuri ya Afrika ya Kati na Sudan Kusini.

  • Watu karibu laki sita wanakabiliwa na baa la njaa Angola

    Watu karibu laki sita wanakabiliwa na baa la njaa Angola

    Jun 03, 2016 03:53

    Umoja wa Mataifa umeonya kuwa watu laki tano na elfu 80 wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na baa la njaa nchini Angola.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS