-
Ukiukaji wa kupindukia mipaka wa haki za binadamu nchini Bahrain
May 17, 2016 07:06Ripoti ya jumuiya ya haki za binadamu ya Bahrain kuhusu uvunjwaji mkubwa wa haki binadamu nchini humo unaofanywa na utawala wa Aal Khalifa, kupasishwa hukumu ya kifungo cha maisha jela na mahakama kuu ya rufaa dhidi ya wapinzani wanne wa serikali na tamko la viongozi wa kidini wa Bahrain la kulaani siasa za ukoo wa kifalme wa nchi hiyo, ni miongoni mwa mambo muhimu yaliyogonga vichwa habari katika siku za hivi karibuni.
-
Wananchi wa Bahrain waandamana na kusisitiza kuachiliwa huru Sheikh Ali Salman
May 14, 2016 03:52Wananchi wa Bahrain jana Ijumaa walifanya maandamano makubwa dhidi ya utawala wa kifalme wa nchi hiyo na kusisitiza kuendeleza mapinduzi yao.
-
Wananchi wa Bahrain waandamana kushinikiza kuachiwa Sh. Salman
Apr 30, 2016 07:58Kwa mara nyingine tena wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano katika barabara za nchi hiyo kushinikiza kuachiwa huru msomi mashuhuri wa Kiislamu Sheikh Ali Salman.
-
Wanaharakati: Mapambano Bahrain kuendelea hadi matakwa yatimizwe
Apr 28, 2016 04:03Kiongozi wa mrengo wa Februari 14 nchini Bahrain amelaani wimbi la ukandamizaji na ukiukaji wa haki za binadamu unaofanywa na utawala wa Aal-Khalifa dhidi ya wananchi na kusisitiza kuwa mapambano ya wapinzani yataendelea hadi matakwa yao yote yatakapotimizwa.
-
Ripoti ya kushtua kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu nchini Bahrain
Apr 04, 2016 07:15Taasisi moja isiyo ya kiserikali inayotetea haki za binadamu nchini Bahrain imetoa ripoti ya kushtusha kuhusu ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu nchini humo katika mwaka uliopita.
-
Mahakama za utawala wa Aal Khalifa zaendelea kutoa hukumu za kidhalimu dhidi ya Wananchi wa Bahrain
Mar 30, 2016 04:10Mahakama moja nchini Bahrain imetoa hukumu ya kidhalimu ya vifungo jela kwa raia kumi wa nchi hiyo kwa madai ya kuwashambulia askari polisi katika maandamano yaliyofanyika katika kijiji kimoja ambacho wakaazi wake ni Waislamu wa Kishia.
-
Wabahrain watano wavuliwa uraia na kuhukumiwa kifungo jela
Mar 26, 2016 01:42Mahakama moja nchini Bahrain imewahukumu vifungo vya miaka mitano hadi 15 jela wapinzani wa utawala wa ukoo wa Aal Khalifa.
-
Wahajiri wa Kiarabu waandamana kupinga jinai za Saudia
Mar 23, 2016 03:44Wahajiri Waarabu wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Denmark, Copenhagen wakipinga jinai na uhalifu unaoendelea kufanywa na serikali ya Saudi Arabia katika maeneo mbalimbali ya Mashariki ya Kati.
-
Bahrain inazidi kuwakandamiza wapinzani
Mar 13, 2016 07:20Shirika moja la kutetea haki za binadamu Bahrain limeutuhumu utawala wa kifalme nchini humo kuwa umezidisha ukandamizaji na utesaji wapinzani wa kisiasa.
-
Watetezi: Bahrain inakiuka haki ya faragha na uhuru wa kujieleza
Mar 11, 2016 08:20Shirika moja la kutetea haki za binadamu nchini Bahrain limeelezea wasiwasi kuhusu hatua ya utawala wa Aal-Khalifa kuendelea kukandamiza haki ya faragha na uhuru wa kujieleza wa wananchi wa nchi hiyo.