Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bangladesh

  • HRW yapinga suala la kuhamishiwa wakimbizi wa Rohingya na kupelekwa maeneo ya mbali

    HRW yapinga suala la kuhamishiwa wakimbizi wa Rohingya na kupelekwa maeneo ya mbali

    Aug 07, 2018 02:19

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limepinga mpango wa serikali ya Bangladesh wa kutaka kuwahamishia Waislamu wakimbizi wa Rohingya katika maeneo ya mbali.

  • Msalaba Mwekundu: Myanmar sio salama kurejea wakimbizi wa Rohingya

    Msalaba Mwekundu: Myanmar sio salama kurejea wakimbizi wa Rohingya

    Jul 02, 2018 07:40

    Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu imesema sio salama kwa maelfu ya wakimbizi wa Rohingya wanaoshi kambini katika nchi jirani ya Bangladesh kurejea makwao katika mkoa wa Rakhine nchini Myanmar.

  • Matarajio ya Bangladesh kwa China kuhusu wakimbizi Waislamu wa Myanmar

    Matarajio ya Bangladesh kwa China kuhusu wakimbizi Waislamu wa Myanmar

    Jul 01, 2018 07:46

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa China ameeleza utayari wa serikali ya Myanmar kwa ajili ya kurejea nchini humo mamia ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya kutoka Bangladesh.

  • Msafara wa walinda amani wa UN wavamiwa Sudan Kusini, askari auawa

    Msafara wa walinda amani wa UN wavamiwa Sudan Kusini, askari auawa

    Jun 26, 2018 15:09

    Askari wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini ameuawa mapema leo Jumanne baada ya msafara wa magari ya mashirika ya kutoa misaada ya kibinadamu kuviziwa na kushambuliwa na genge la wabeba silaha magharibi mwa nchi hiyo.

  • UN: Watu 4,000 wamekimbia mapigano mapya Myanmar

    UN: Watu 4,000 wamekimbia mapigano mapya Myanmar

    Apr 28, 2018 07:43

    Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya elfu nne wamekimbia mapigano mapya kati ya wanajeshi wa Myanmar na genge moja la kikabila katika muda wa wiki chache zilizopita, kaskazini mwa nchi.

  • Madai ya Myanmar kuhusu suala la kurejea wakimbizi Waislamu Warohingya kutoka Bangladesh

    Madai ya Myanmar kuhusu suala la kurejea wakimbizi Waislamu Warohingya kutoka Bangladesh

    Apr 14, 2018 07:27

    Waziri wa Ustawi wa Jamii wa Myanmar amedai kuwa, kurejea nchini humo wakimbizi Waislamu Warohingya kutoka Bangladesh ni katika mambo yanayopewa kipaumbele na serikali ya nchi hiyo.

  • Umoja wa Mataifa watoa wito wa kusaidiwa wakimbizi Waislamu Warohingya

    Umoja wa Mataifa watoa wito wa kusaidiwa wakimbizi Waislamu Warohingya

    Mar 17, 2018 07:59

    Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kukusanywa misaada kwa ajili ya kuwasaidia wakimbizi takribani milioni moja wa jamii ya Rohingya wa Myanmar ambao wako katika kambi za wakimbizi nchini Bangladesh sambamba na kuandaliwa mazingira ya Waislamu hao kurejea nchini kwao.

  • Makumi ya watu wapoteza maisha baada ya ndege kuanguka Kathmandu, Nepal

    Makumi ya watu wapoteza maisha baada ya ndege kuanguka Kathmandu, Nepal

    Mar 12, 2018 13:51

    Ndege ya abiria iliyokuwa imebaba watu 71 kutoka Bangladesh imeanguka wakati ikitua katika uwanja wa ndege wa Kathmandu, mji mkuu wa Nepal ambapo taarifa zainasema makumi ya watu wamefariki.

  • UN yasema mauaji dhidi ya Waislamu wa Rohingya yanaendelea Myanmar

    UN yasema mauaji dhidi ya Waislamu wa Rohingya yanaendelea Myanmar

    Mar 06, 2018 07:58

    Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imetahadharisha kuhusiana na kuendelea mauaji ya kizazi yanayofanywa na serikali ya Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya magharibi mwa nchi hiyo.

  • Bangladesh yalalamikia hatua ya Myanmar kuweka askari wake wengi karibu na eneo walipo Waislamu

    Bangladesh yalalamikia hatua ya Myanmar kuweka askari wake wengi karibu na eneo walipo Waislamu

    Mar 02, 2018 14:18

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Bangladesh imelalamikia hatua ya Myanmar ya kuongeza idadi ya askari wake katika eneo lililo karibu na kambi za maelfu ya Waislamu wa Rohingya katika sehemu ya uzio wa mpaka baina ya nchi mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS