Nov 28, 2022 11:40
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa msimamo kuhusiana na azimio dhidi ya Iran la Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, na kueleza kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitatoa ushirikiano wowote kwa tume ya kisiasa iliyopewa jina la "tume ya kutafuta ukweli".