Jul 02, 2018 02:38
Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram wameshambulia kambi ya wakimbizi wa ndani ya nchi, IDP, katika hujuma waliyotekeleza katika eneo la mpaka wa Nigeria na Cameroon ambapo watu wasiopungua wanne wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa.