Mar 21, 2018 04:30
Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, askari usalama wa Nigeria hawakujali taarifa walizopewa zilizotahadharisha kwamba kundi la watu waliokuwa na silaha lilikuwa mbioni kuelekea katika mji ambako wasichana wasiopungua 110 wa shule walitekwa nyara mwezi uliopita wa Februari.