Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Wakimbizi Warundi wanarejea nyumbani, UNCHR yataka misaada zaidi kuwahudumia

    Wakimbizi Warundi wanarejea nyumbani, UNCHR yataka misaada zaidi kuwahudumia

    Jan 16, 2019 04:29

    Raia wa Burundi waliokimbilia hifadhi katika nchi jirani wameanza kurejea katika nchi yao baada ya kuimarika usalama huku Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) likotoa wito wa misaada kwa ajili ya kuwasaidia.

  • Jumuiya ya Waislamu Duniani: Burundi ni kiigizo chema+SAUTI

    Jumuiya ya Waislamu Duniani: Burundi ni kiigizo chema+SAUTI

    Jan 15, 2019 16:05

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Waislamu Duniani yuko safarini nchini Burundi ambapo amehudhuria hii leo mkutano wa kusisitizia haja ya kutumiwa tofauti za kidini na kikabila kuimarisha utangamano.

  • Burundi yakanusha uvumi kuwa inataka kujitoa katika Jumauiya ya Afrika Mashariki + Sauti

    Burundi yakanusha uvumi kuwa inataka kujitoa katika Jumauiya ya Afrika Mashariki + Sauti

    Dec 17, 2018 17:13

    Burundi haijafikiria kujiondoka kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Burundi anayehusika na masuala ya Afrika Mashariki ambaye amesisitiza kuwa, endapo itabaini kuwa sheria zinakiukwa kwa maanufaa ya baadhi ya wanachama huku wengine wakikandamizwa basi nchi hiyo inaweza kufikiria kuchukua hatua hiyo. HAMIDA ISSA na taarifa zaidi akiripoti kutoka Bujumbura

  • Burundi yaiagiza UN ifunge ofisi yake ya haki za binadamu Bujumbura

    Burundi yaiagiza UN ifunge ofisi yake ya haki za binadamu Bujumbura

    Dec 06, 2018 14:54

    Serikali ya Burundi imeliagiza Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa lifunge ofisi yake iliyoko katika mji mkuu wa nchi hiyo, Bujumbura katika kipindi cha miezi miwili ijayo.

  • Tume mpya ya ukweli na maridhiano Burundi yaanza kazi + Sauti

    Tume mpya ya ukweli na maridhiano Burundi yaanza kazi + Sauti

    Dec 04, 2018 03:02

    Mwenyekiti mpya wa tume ya ukweli na maridhiano ya nchini Burundi amekula kiapo mbele ya Rais Piere Nkurunziza wa nchi hiyo. Maelezo zaidi yamo kwenye ripoti ya mwandishi wetu, Hamida Issa...

  • Burundi yatoa waranti ya kukamatwa rais wa zamani wa nchi hiyo

    Burundi yatoa waranti ya kukamatwa rais wa zamani wa nchi hiyo

    Dec 01, 2018 08:06

    Serikali ya Burundi imetoa waranti ya kimataifa ya kutiwa mbaroni rais wa zamani wa nchi hiyo, Pierre Buyoya kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya kiongozi wa kwanza wa jamii ya Wahutu kuchaguliwa kwa njia ya demokrasia, Melchior Ndadaye.

  • WHO: Kesi 36 mpya za Ebola ziripotiwa DRC

    WHO: Kesi 36 mpya za Ebola ziripotiwa DRC

    Nov 30, 2018 04:33

    Hatari wa kuenea ugonjwa habari wa Ebola imeongezeka huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na katika nchi zinazopakana nayo baada ya kesi nyingine 36 kugunduliwa karibu na mpaka wa nchi hiyo katika wiki iliyomalizikia kwenye Novemba 29.

  • SAUTI, UNICEF laahidi kuwasaidia wanafunzi wa kike waliojifungua pamoja na watoto masikini wamalize masomo yao salama

    SAUTI, UNICEF laahidi kuwasaidia wanafunzi wa kike waliojifungua pamoja na watoto masikini wamalize masomo yao salama

    Nov 29, 2018 13:17

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF, limezinduwa mpango mpya wa kazi nchini Burundi ambao utaanza kazi yake mwaka 2019 na kumalizika mwaka 2023.

  • Burundi kuwakusanya watoto wa mitaani

    Burundi kuwakusanya watoto wa mitaani "chokoraa" + Sauti

    Nov 26, 2018 18:09

    Ulimwengu unaadhimisha siku ya kimataifa ya watoto wa barabarani, huku serikali ya Burundi ikisema inao mpango wa kuwaondoa watoto wa barabarani katika kipindi kisicho zidi miezi mitatu. Wakati huohuo mashirika ya kimataifa yanakadiria kuwepo watoto wa barabarani zaidi ya elf 3 nchini humo. Kwa maelezo kamili tumtegee sikio mwandishi wetu wa Bujumbura, Hamida Issa...

  • Burundi yazindua kampeni maalumu ya kupiga vita mihadarati na pombe za kienyeji + Sauti

    Burundi yazindua kampeni maalumu ya kupiga vita mihadarati na pombe za kienyeji + Sauti

    Nov 22, 2018 17:52

    Serikali ya Burundi imezindua kampeni ya kupiga vita utengenezaji na utumiaji wa pombe za kienyeji na mihadarati katika jiji la Bujumbura. Wakati kampeni hiyo itakayodumu kwa muda wa siku 60 ikianzishwa, mkuu wa kata ya Kavumu amefutwa kazi hadharani akituhumiwa kushirikiana na wagemaji na wauzaji wa pombe hizo. Mwandishi wetu wa Bujumbura, Hamida Issa ana maelezo zaidi.........

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS