Jumuiya ya Waislamu Duniani: Burundi ni kiigizo chema+SAUTI
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i50897-jumuiya_ya_waislamu_duniani_burundi_ni_kiigizo_chema_sauti
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Waislamu Duniani yuko safarini nchini Burundi ambapo amehudhuria hii leo mkutano wa kusisitizia haja ya kutumiwa tofauti za kidini na kikabila kuimarisha utangamano.
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Jan 15, 2019 12:35 UTC

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Waislamu Duniani yuko safarini nchini Burundi ambapo amehudhuria hii leo mkutano wa kusisitizia haja ya kutumiwa tofauti za kidini na kikabila kuimarisha utangamano.

Muhammad bin Abdul Karim Issa wa Muslim World League amesema Burundi ni mfano wa kuigwa wa nchi inayoishi katika mshikamano na utangamano licha ya tofauti za kidini.
Mwandishi wetu wa Bujumbura, Hamida Issa ana maelezo zaidi......