-
SAUTI, Burundi yakosoa kitendo cha Rwanda cha kuwatimua wakimbizi wa Kirundi bila kuwapa mali zao
Jun 28, 2018 15:44Serikali ya Burundi imekosoa kitendo cha serikali ya nchi jirani ya Rwanda cha kuwafukuza zaidi ya wakimbizi 550 bila sababu.
-
Afisa wa serikali na Wafaransa 4 watiwa nguvuni kwa ufisadi Burundi
Jun 24, 2018 12:50Serikali ya Burundi imemtia nguvuni afisa mmoja wa ngazi ya juu wa nchi hiyo na raia wanne wa Ufaransa kwa tuhuma za kufanya utapeli.
-
Nkurunziza asema hatogombea urais nchini Burundi mwaka 2020+SAUTI
Jun 07, 2018 15:30Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi ametangaza kuwa hatagombea urais katika uchaguzi ujao wa mwaka 2020, licha ya katiba mpya aliyoiidhinisha hii leo kumpa kibali cha kusalia madarakani hadi mwaka 2034.
-
Franc bilioni 17 zimeshakusanywa Burundi kwa ajili ya uchaguzi + Sauti
Jun 05, 2018 16:45Serikali ya Burundi imetangaza kiwango cha Franc bilioni 17 za nchi hiyo sawa na dola milioni 17 za Kimarekani kuwa ndizo tayari zimekusanywa katika michongo inayotolewa ndani ya nchi hiyo kugharamia uchaguzi mkuu wa 2020. Hamida Issa na maelezo zaidi...
-
AU yatakiwa kuongoza mazungumzo ya amani ya Burundi
Jun 02, 2018 08:07Mabalozi wa nchi za Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika katika Umoja wa Ulaya wameutaka Umoja wa Afrika uingie usukani katika mazungumzo ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa unaozidi kutokota nchini Burundi.
-
Mahakama yatupilia mbali kesi ya upinzani kuhusu kura ya maoni Burundi
May 31, 2018 14:58Mahakama ya Katiba ya Burundi imetupilia mbali kesi iliyowasilisha na muungano wa upinzani nchini humo kupinga matokeo ya kura ya maoni ya kuifanyia marekebisho katiba ya nchi, yaliyoipa ushindi kambi ya serikali.
-
Upinzani Burundi waenda mahakamani kupinga matokeo ya kura ya maoni
May 25, 2018 07:34Muungano wa upinzani nchini Burundi unaoongozwa na Agathon Rwasa jana Alkhamisi ulienda mahakamani kupinga matokeo ya kura ya maoni ya kuifanyia marekebisho katiba ya nchi, yaliyoipa ushindi kambi ya serikali.
-
HRW: Watu 15 waliuawa wakati wa kampeni za kura ya maoni Burundi; matokeo ya awali yatangazwa + Sauti
May 18, 2018 14:03Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kwa akali watu 15 waliuawa wakati wa kampeni za kura ya maoni ya kuifanyia marekebisho katiba huko nchini Burundi.
-
Burundi yalaani kitendo cha serikali ya Canada kuwazuia Warundi kushiriki kura ya maoni
May 18, 2018 04:08Wizara ya Mambo ya Nje ya Burundi imekosoa vikali hatua ya viongozi wa Canada ya kuwazuia Warundi wanaoishi katika nchi hiyo kushiriki katika kura ya maoni ya jana na kusema kuwa, kitendo hicho ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.
-
Dosari zagubika kura ya maoni ya marekebisho ya Katiba Burundi (SAUTI)
May 17, 2018 14:54Wananchi wa Burundi waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wameshiriki katika kura ya maoni ya marekebisho ya Katiba ambayo kama itapasishwa itamfungulia njia Rais Pierre Nkurunziza kuiongoza nchi hiyo hadi 2034.