Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Canada

  • Waislamu Canada: Hujuma dhidi ya Waislamu zimeongezeka mara mbili zaidi

    Waislamu Canada: Hujuma dhidi ya Waislamu zimeongezeka mara mbili zaidi

    Mar 19, 2017 12:43

    Baraza la Kitaifa la Waislamu nchini Canada, limeonya juu ya ongezeko la vitendo vya chuki dhidi ya dini ya Uislamu nchini humo.

  • Watu wa Canada wataka bidhaa za Israel zisusiwe

    Watu wa Canada wataka bidhaa za Israel zisusiwe

    Mar 03, 2017 10:07

    Watu wa Canada wametaka bidhaa zinazotegenezwa Israel zisusiwe nchini humo kama njia ya kutetea haki za taifa la Palestina.

  • Msikiti mwingine washambuliwa na watu wenye chuki Canada

    Msikiti mwingine washambuliwa na watu wenye chuki Canada

    Feb 04, 2017 01:03

    Polisi ya Canada imetangaza habari ya kushambuliwa msikiti na watu wenye chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika mji wa Montreal nchini humo.

  • Mauaji ya Waislamu msikitini Canada yaendelea kulaaniwa

    Mauaji ya Waislamu msikitini Canada yaendelea kulaaniwa

    Feb 04, 2017 00:26

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema makundi fisadi na ya kibepari yaliyo nyuma ya pazia yanapaswa kuwajibishwa kufuatia mauaji ya Waislamu dani ya msikiti huko Quebec Canada na maeneo mengine ya dunia.

  • Aliyetekeleza mauaji msikitini Canada ni mfuasi sugu wa Trump

    Aliyetekeleza mauaji msikitini Canada ni mfuasi sugu wa Trump

    Feb 01, 2017 00:50

    Mwanafunzi wa chuo kikuu aliyetekeleza mauaji dhidi ya waumini wa Kiislamu waliokuwa wakisali katika msikiti mmoja mjini Quebec nchini Canada siku chache zilizopita ni mtu mwenye misimamo ya mrengo wa kulia na mfuasi sugu wa Donald Trump, Rais wa Marekani.

  • Misikiti yafungwa Uholanzi kufuatia shambulizi la Quebec, Canada

    Misikiti yafungwa Uholanzi kufuatia shambulizi la Quebec, Canada

    Jan 31, 2017 09:54

    Misikiti minne ya Jamia nchini Uholanzi inatazamiwa kufungwa kutokana na kushadidi chuki dhidi ya Waislamu, siku mbili baada ya shambulizi la kikatili dhidi ya msikiti na kituo cha kidini mjini Quebec nchini Canada.

  • Qassemi alaani shambulio la kigaidi katika kituo cha Kiislamu Canada

    Qassemi alaani shambulio la kigaidi katika kituo cha Kiislamu Canada

    Jan 31, 2017 00:39

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulizi la kigaidi lililofanywa dhidi ya kituo cha Kiislamu huko Quebec nchini Canada.

  • Kuongezeka chuki dhidi ya Waislamu Amerika Kaskazini

    Kuongezeka chuki dhidi ya Waislamu Amerika Kaskazini

    Jan 31, 2017 00:39

    Baada ya kuongezeka hisia za chuki na uadui dhidi ya Waislamu huko Amerika Kaskazini hususan baada ya kuingia madarakani Rais Donald Trump nchini Marekani, hivi sasa matokeo mabaya ya jambo hilo yameanza kuonekana.

  • 5 wauawa kwa risasi kwenye hujuma dhidi ya msikiti Quebec, Canada

    5 wauawa kwa risasi kwenye hujuma dhidi ya msikiti Quebec, Canada

    Jan 30, 2017 04:08

    Kwa akali watu watano wameuawa katika hujuma ya kikatili dhidi ya msikiti mmoja katika mji wa Quebec nchini Canada usiku wa kuamkia leo.

  • Msomaji habari wa kwanza mwenye kuvaa Hijabu awavutia wengi Canada

    Msomaji habari wa kwanza mwenye kuvaa Hijabu awavutia wengi Canada

    Nov 26, 2016 13:18

    Mwandishi habari wa kwanza wa kike kusoma habari akiwa amevaa vazi la Kiislamu la Hijabu nchini Canada amewavutia watu wengi nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS