Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Canada

  • Iran yakosoa azimio la haki za binadamu lililoungwa mkono na Canada

    Iran yakosoa azimio la haki za binadamu lililoungwa mkono na Canada

    Dec 18, 2021 09:39

    Afisa wa ngazi za juu wa Idara ya Mahakama ya Iran amekosoa azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambalo lilipitishwa hivi karibuni kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Iran na kusema, azimio hilo ambalo limeungwa mkono na Canada, ni la kisiasa, na halijazingatia uhalisia wa mambo.

  • Khatibzadeh: Azimio kuhusu hali ya haki za binadamu Iran halina hadhi ya kisheria

    Khatibzadeh: Azimio kuhusu hali ya haki za binadamu Iran halina hadhi ya kisheria

    Nov 18, 2021 03:51

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, azimio lililopendekezwa na Canada na kuungwa mkono na baadhi ya nchi za Magharibi kuhusu hali ya haki za binadamu katika Jamhuri ya Kiislamu halina hadhi ya kisheria na kimsingi halikubaliki.

  • Dalali wa silaha za magaidi nchini Syria afilisika, Canada yampa kinga ya ukimbizi

    Dalali wa silaha za magaidi nchini Syria afilisika, Canada yampa kinga ya ukimbizi

    Oct 24, 2021 23:02

    Mmoja wa madalali aliyekuwa akiyauzia silaha magenge ya kigaidi nchini Syria likiwemo la Daesh (ISIS) amefilisika vibaya kiasi kwamba Canada imempa kinga ya ukimbizi nchini humo.

  • Canada kuwanyima mishahara wafanyakazi wanaokwepa chanjo ya UVIKO-19

    Canada kuwanyima mishahara wafanyakazi wanaokwepa chanjo ya UVIKO-19

    Oct 07, 2021 08:21

    Serikali ya Canada imeanzisha sheria mpya kali za kupambana na watu wanaofanya ukaidi wa kudunga chanjo za UVIKO-19 ambazo zitawaathiri watu wengi.

  • Serikali ya Canada yahukumiwa kuwalipa fidia wakazi asili wa nchi hiyo

    Serikali ya Canada yahukumiwa kuwalipa fidia wakazi asili wa nchi hiyo

    Oct 01, 2021 01:41

    Mahakama ya Haki za Binadamu ya Canada ambayo mwaka 2016 iliituhumu serikali ya nchi kuwa imefanya ubaguzi wa kimbari, kutumia mabavu na kuua Wahindi Wekundu wenyeji wa nchi hiyo imeitaka serikali ya Ottawa kuwalipa fidia Wahindi Wekundu kwa kupatikana na hatia ya kukiuka haki zao za kibinadamu

  • Ripoti: Canada inakiuka sheria za kimataifa kwa kuiuzia silaha Saudi Arabia

    Ripoti: Canada inakiuka sheria za kimataifa kwa kuiuzia silaha Saudi Arabia

    Aug 12, 2021 03:34

    Ripoti mpya ya mashirika ya kimataiafa ya kutetea haki za binadamu imeitaka serikali ya Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau isimamishe kuuuzia silaha utawala wa Saudi Arabia ikisisitiza kuwa, mauzo hayo si tu yanakiuka haki za binadamu, lakini pia yanavunja sheria za kimataifa.

  • Jamii ya Waislamu wa Canada yametangaza mshikamano na Wacanada asilia

    Jamii ya Waislamu wa Canada yametangaza mshikamano na Wacanada asilia

    Jul 11, 2021 00:12

    Maimamu 75 wa misikiti ya Waislamu wa Canada wamekutana na raia asili wa nchi hiyo na kueleza mshikamano wao na jamii hiyo kutokana na kugunduliwa makaburi ya umati ya watoto wa Wacanada asili waliokuwa wakishikiliwa katika shule za Wamishonari wa Kikatoliti.

  • Waziri Mkuu wa Canada asisitiza tena: Papa anapasa kuwaomba radhi wenyeji asilia wa Canada

    Waziri Mkuu wa Canada asisitiza tena: Papa anapasa kuwaomba radhi wenyeji asilia wa Canada

    Jul 01, 2021 21:59

    Waziri Mkuu wa Canada amesema kuwa anataraji kuwa Papa Francis Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani atawaomba radhi wakazi asilia wa Canada.

  • Mamia waaga dunia kutokana na joto kali nchini Canada

    Mamia waaga dunia kutokana na joto kali nchini Canada

    Jun 30, 2021 06:50

    Mamia ya watu wamefariki dunia nchini Canada baada ya joto lisilo la kawaida kushuhudiwa katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo.

  • Juhudi za Trudeau za kutaka kukwepa majukumu ya kuhusiaka Ottawa na muaji ya watoto wa Wacanada asili

    Juhudi za Trudeau za kutaka kukwepa majukumu ya kuhusiaka Ottawa na muaji ya watoto wa Wacanada asili

    Jun 29, 2021 11:31

    Kugunduliwa makaburi mapya ya mamia ya watoto wa Wacanada asili katika mkoa wa Saskatchewan kumewashtua watu ndani na nje ya Canada na kufufua tena mjadala wa ubaguzi wa rangi na wa kimfumo katika nchi hiyo ya Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS