Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • China yatupilia mbali ombi la Marekani la kuwakutanisha mawaziri wa ulinzi wa nchi mbili

    China yatupilia mbali ombi la Marekani la kuwakutanisha mawaziri wa ulinzi wa nchi mbili

    May 30, 2023 01:47

    Gazeti moja linalochapishwa nchini Marekani limeripoti kuwa China imekataa ombi la Marekani la kufanyika mkutano kati ya mawaziri wa ulinzi wa nchi hizo mbili kando ya kongamano la kila mwaka la usalama nchini Singapore.

  • China yaitaka Israel iache chokochoko, uporaji wa ardhi za Wapalestina

    China yaitaka Israel iache chokochoko, uporaji wa ardhi za Wapalestina

    May 25, 2023 23:50

    China imeutaka utawala haramu wa Israel ukomeshe mara moja tabia yake ya uchokozi, kuchochea taharuki na kupora ardhi na rasilimali za Wapalestina hasa katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Reuters 'yasutwa' kudai kwamba majasusi wa China wamefanya udukuzi mkubwa dhidi ya Kenya

    Reuters 'yasutwa' kudai kwamba majasusi wa China wamefanya udukuzi mkubwa dhidi ya Kenya

    May 25, 2023 23:10

    Serikali ya Kenya imesema madai yaliyotolewa na shirika la habari la Reuters, kwamba China imekuwa ikifanya udukuzi kwa miaka mingi dhidi ya nchi hiyo ni "propganda" tu.

  • Russia yalaani kauli ya rais wa Ufaransa kuhusu uhusiano wa Moscow na China

    Russia yalaani kauli ya rais wa Ufaransa kuhusu uhusiano wa Moscow na China

    May 16, 2023 02:48

    Maafisa wa Russia wamelaani matamshi ya rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kwamba Moscow sasa inabadilika na kuwa kibaraka wa China.

  • Russia yakaribisha mpango wa China wa amani na Ukraine

    Russia yakaribisha mpango wa China wa amani na Ukraine

    Apr 21, 2023 22:10

    Russia imeunga mkono mpango wa vipengee 12 uliopendekezwa na China kwa ajili ya kufikia amani kati yake na Ukraine.

  • Kuendelea utunishaji misuli na ubabe wa China mbele ya Marekani

    Kuendelea utunishaji misuli na ubabe wa China mbele ya Marekani

    Apr 13, 2023 22:43

    Ijapokuwa China ilitangaza hivi majuzi kuwa mazoezi yake ya kijeshi ya pande zote iliyofanya kwa mfananisho wa kukizingira kisiwa cha Taiwan yamemalizika, lakini televisheni ya taifa ya nchi hiyo ilitangaza kuwa, manowari kadhaa za Beijing zitaendelea kutoa mafunzo yanayohitajika kuendana na uhalisia wa hali ya vita katika maji yanayoizunguka Taiwan ili kupima uwezo wake katika ngazi zote na ufanisi wa silaha na zana zake za kivita.

  • China yatuma meli na ndege zaidi za kivita karibu na Taiwan kwa siku ya pili baada ya mkutano wa Tsai-McCarthy

    China yatuma meli na ndege zaidi za kivita karibu na Taiwan kwa siku ya pili baada ya mkutano wa Tsai-McCarthy

    Apr 07, 2023 22:56

    Maafisa wa Taiwan walisema jana Ijumaa kwamba, China imetuma meli na ndege zaidi za kivita karibu na kisiwa hicho kwa siku ya pili, wakati mvutano ukiendelea kutokota kati ya Beijing na kisiwa hicho kinachojitawala kufuatia mkutano uliofanyika kati ya Rais Tsai Ing-wen wa kisiwa hicho na Spika wa Bunge la Marekani, Kevin McCarthy.

  • Ombi la Ufaransa na Marekani kwa China kuitaka iwe msuluhishi katika vita vya Ukraine

    Ombi la Ufaransa na Marekani kwa China kuitaka iwe msuluhishi katika vita vya Ukraine

    Apr 07, 2023 04:49

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa siku ya Jumatano aliwasili Beijing kwa ziara ya siku tatu nchini China. Ziara hiyo ni ya kwanza kufanywa na Macron nchini China tangu mwaka 2019. Rais huyo wa Ufaransa jana alifanya mazungumzo na mwenyeji wake Rais Xi Jinping.

  • kufutwa sarafu ya dola katika mabadilishano ya kibiashara kati ya Brazil na China

    kufutwa sarafu ya dola katika mabadilishano ya kibiashara kati ya Brazil na China

    Apr 01, 2023 22:53

    Serikali za Brazil na China Jumatano, Machi 29, zilitangaza makubaliano ambapo dola ya Marekani utatupiliwa mbali na kuondolewa katika miamala ya kibiashara kati ya nchi hizo mbili.

  • China: Luteka ya pamoja na Iran, Russia imeimarisha ushirikiano wa pande tatu

    China: Luteka ya pamoja na Iran, Russia imeimarisha ushirikiano wa pande tatu

    Mar 30, 2023 22:46

    China imepongeza kufanyika kwa mafanikio hivi karibuni mazoezi ya pamoja ya kijeshi baina ya nchi hiyo, Iran na Russia katika Bahari ya Oman na kueleza kuwa, luteka hiyo imeimarisha ushirikiano na urafiki wa pande tatu katika usalama wa baharini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS