Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Upinzani wa China kwa hatua ya Marekani ya kuishambulia kijeshi Yemen

    Upinzani wa China kwa hatua ya Marekani ya kuishambulia kijeshi Yemen

    Jan 27, 2024 02:34

    Wang Wenbing, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa halijatoa kibali kwa mtu yeyote kutumia nguvu dhidi ya Yemen, akimaanisha hujuma na mashambulio ya kijeshi yanayofanywa na Marekani na Uingereza dhidi ya ngome na vituo vya harakati ya Ansarullah ya Yemen.

  • China yatoa tahadhari ya kuibuka tena mripuko wa COVID-19 kupitia spishi ya aina nyingine

    China yatoa tahadhari ya kuibuka tena mripuko wa COVID-19 kupitia spishi ya aina nyingine

    Jan 16, 2024 06:54

    Maafisa wa Afya nchini China wametahadharisha juu ya uwezekano wa kuibuka tena mripuko wa ugonjwa wa COVID-19 katika mwezi huu wa Januari, utakaochochewa na kuongezeka maambukizi ya spishi mpya ya JN.1.

  • Ombi la serikali ya China kwa watu wa Taiwan

    Ombi la serikali ya China kwa watu wa Taiwan

    Jan 13, 2024 02:47

    Serikali ya China imewataka watu wa kisiwa cha Taiwan kutompigia kura William Lai, mgombea mkuu wa uchaguzi wa urais katika kisiwa hicho.

  • China yaijuza Marekani kwamba 'haitalegeza msimamo katu' juu ya Taiwan

    China yaijuza Marekani kwamba 'haitalegeza msimamo katu' juu ya Taiwan

    Jan 10, 2024 06:19

    China imeapa kutekeleza bila kuyumbayumba msimamo wake wa kuiunganisha tena Taiwan na ardhi kuu ya nchi hiyo na kuitaka Marekani iache kukipatia silaha kisiwa hicho na kupunguza harakati zake katika Bahari ya China Kusini.

  • China yayawekea vikwazo makampuni matano ya Marekani kwa kuiuzia silaha Taiwan

    China yayawekea vikwazo makampuni matano ya Marekani kwa kuiuzia silaha Taiwan

    Jan 08, 2024 06:39

    Wizara ya Mambo ya Nje ya China imetangaza vikwazo dhidi ya makampuni matano ya Marekani kwa kuiuzia Taiwan silaha.

  • Beijing yaionya Taipei huku uchaguzi ukikaribia kufanyika katika kisiwa cha Taiwan

    Beijing yaionya Taipei huku uchaguzi ukikaribia kufanyika katika kisiwa cha Taiwan

    Jan 05, 2024 07:44

    Huku uchaguzi mkuu wa rais na bunge ukikaribia kufanyika huko Taiwan tarehe 13 January, kiongozi wa ngazi ya juu ya China ameutaja uchaguzi huo kuwa chaguo kati ya vita na amani.

  • Kuimarika uhusiano wa Russia na China, changamoto kubwa kwa mfumo wa Magharibi duniani

    Kuimarika uhusiano wa Russia na China, changamoto kubwa kwa mfumo wa Magharibi duniani

    Dec 23, 2023 04:41

    Katika ziara yake nchini China, Waziri Mkuu wa Russia amesema kuimarishwa uhusiano wa pande mbili ni kwa manufaa ya Moscow na Beijing.

  • Radiamali ya China kuhusu kura ya turufu ya Marekani dhidi ya azimio la kusitisha vita Gaza

    Radiamali ya China kuhusu kura ya turufu ya Marekani dhidi ya azimio la kusitisha vita Gaza

    Dec 10, 2023 05:54

    Zhang Jun, mwakilishi wa kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa, ameitaja kura ya turufu ya Marekani dhidi ya azimio la kusitisha mapigano huko Gaza kuwa imeweka wazi siasa za kundumakuwili za Washington katika uwanja wa kimataifa.

  • Iran na China zakubaliana kuanzisha kituo cha pamoja cha mafunzo ya teknolojia mpya

    Iran na China zakubaliana kuanzisha kituo cha pamoja cha mafunzo ya teknolojia mpya

    Nov 12, 2023 02:56

    Wakuu wa Idara za Mafunzo za Wizara za Sayansi, Utafiti na Teknolojia za Iran na China wamekubaliana juu ya kuanzishwa kituo cha pamoja cha utoaji mafunzo ya kiufundi na kitaalamu na mafunzo ya teknolojia mpya.

  • Utunishaji misuli wa China sambamba na harakati za Marekani katika Bahari ya China Kusini

    Utunishaji misuli wa China sambamba na harakati za Marekani katika Bahari ya China Kusini

    Nov 10, 2023 02:52

    China imetuma meli yake ya kivita ya kubeba ndege ya Shangong katika Bahari ya China Kusini sambamba na kufanyika maneva ya baharini kati ya Marekani, Korea Kusini na Ufilipino.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS