Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • China yaijuza Marekani kwamba 'haitalegeza msimamo katu' juu ya Taiwan

    China yaijuza Marekani kwamba 'haitalegeza msimamo katu' juu ya Taiwan

    Jan 10, 2024 02:49

    China imeapa kutekeleza bila kuyumbayumba msimamo wake wa kuiunganisha tena Taiwan na ardhi kuu ya nchi hiyo na kuitaka Marekani iache kukipatia silaha kisiwa hicho na kupunguza harakati zake katika Bahari ya China Kusini.

  • China yayawekea vikwazo makampuni matano ya Marekani kwa kuiuzia silaha Taiwan

    China yayawekea vikwazo makampuni matano ya Marekani kwa kuiuzia silaha Taiwan

    Jan 08, 2024 03:09

    Wizara ya Mambo ya Nje ya China imetangaza vikwazo dhidi ya makampuni matano ya Marekani kwa kuiuzia Taiwan silaha.

  • Beijing yaionya Taipei huku uchaguzi ukikaribia kufanyika katika kisiwa cha Taiwan

    Beijing yaionya Taipei huku uchaguzi ukikaribia kufanyika katika kisiwa cha Taiwan

    Jan 05, 2024 04:14

    Huku uchaguzi mkuu wa rais na bunge ukikaribia kufanyika huko Taiwan tarehe 13 January, kiongozi wa ngazi ya juu ya China ameutaja uchaguzi huo kuwa chaguo kati ya vita na amani.

  • Kuimarika uhusiano wa Russia na China, changamoto kubwa kwa mfumo wa Magharibi duniani

    Kuimarika uhusiano wa Russia na China, changamoto kubwa kwa mfumo wa Magharibi duniani

    Dec 23, 2023 01:11

    Katika ziara yake nchini China, Waziri Mkuu wa Russia amesema kuimarishwa uhusiano wa pande mbili ni kwa manufaa ya Moscow na Beijing.

  • Radiamali ya China kuhusu kura ya turufu ya Marekani dhidi ya azimio la kusitisha vita Gaza

    Radiamali ya China kuhusu kura ya turufu ya Marekani dhidi ya azimio la kusitisha vita Gaza

    Dec 10, 2023 02:24

    Zhang Jun, mwakilishi wa kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa, ameitaja kura ya turufu ya Marekani dhidi ya azimio la kusitisha mapigano huko Gaza kuwa imeweka wazi siasa za kundumakuwili za Washington katika uwanja wa kimataifa.

  • Iran na China zakubaliana kuanzisha kituo cha pamoja cha mafunzo ya teknolojia mpya

    Iran na China zakubaliana kuanzisha kituo cha pamoja cha mafunzo ya teknolojia mpya

    Nov 11, 2023 23:26

    Wakuu wa Idara za Mafunzo za Wizara za Sayansi, Utafiti na Teknolojia za Iran na China wamekubaliana juu ya kuanzishwa kituo cha pamoja cha utoaji mafunzo ya kiufundi na kitaalamu na mafunzo ya teknolojia mpya.

  • Utunishaji misuli wa China sambamba na harakati za Marekani katika Bahari ya China Kusini

    Utunishaji misuli wa China sambamba na harakati za Marekani katika Bahari ya China Kusini

    Nov 09, 2023 23:22

    China imetuma meli yake ya kivita ya kubeba ndege ya Shangong katika Bahari ya China Kusini sambamba na kufanyika maneva ya baharini kati ya Marekani, Korea Kusini na Ufilipino.

  • Radiamali ya China kuhusu ripoti ya mwaka ya Pentagon

    Radiamali ya China kuhusu ripoti ya mwaka ya Pentagon

    Oct 27, 2023 22:52

    Wizara ya Ulinzi ya China imelaani ripoti ya kila mwaka ya Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) kuhusu nchi hiyo.

  • Kupigiwa kura ya veto maazimio yanayohusu vita vya Ghaza katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

    Kupigiwa kura ya veto maazimio yanayohusu vita vya Ghaza katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

    Oct 27, 2023 03:57

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena limeshindwa kupasisha azimio Katika hali ambayo wananchi wa Ukanda wa Ghaza bado wanakabiliwa na mashambulizi ya kinyama na ya kutisha ya utawala wa Kizayuni ambapo utawala huo unazuia kufikishwa misaada ya dharura katika eneo hilo.

  • Russia: Kustawisha uhusiano wa kimkakati na China ni kipaumbele chetu cha kipekee

    Russia: Kustawisha uhusiano wa kimkakati na China ni kipaumbele chetu cha kipekee

    Oct 17, 2023 10:11

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesisitiza kuwa kustawisha uhusiano wa kimkakati na China ni kipaumbele cha kipekee kwa Moscow, na akauelezea uhusiano wa Moscow na Beijing kuwa ni kama mfano wa ushirikiano wa kiserikali kati ya madola makubwa yenye nguvu katika karne ya 21.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS