Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Cuba

  • Cuba: Jinai za Israel dhidi ya Wapalestina ni ukiukaji wa haki za binadamu

    Cuba: Jinai za Israel dhidi ya Wapalestina ni ukiukaji wa haki za binadamu

    Apr 04, 2018 09:56

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Cuba imetoa taarifa rasmi inayolaani jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina na kusema kuwa, jinai hizo ni ukiukaji wa wazi wa haki za binadamu.

  • Cuba na Venezuela Kuungana Kukabiliana na Chokochoko za Marekani

    Cuba na Venezuela Kuungana Kukabiliana na Chokochoko za Marekani

    Feb 24, 2018 10:48

    Harakati ya Urafiki na Mshikamano wa Cuba na Venezuela imesisitiza kuhusu muungano wa nchi hizo mbili katika kukabiliana na chokochoko za uingiliaji wa Marekani.

  • Mtoto mkubwa wa Fidel Castro ajiua Cuba, msongo wa mawazo watajwa kuwa chanzo

    Mtoto mkubwa wa Fidel Castro ajiua Cuba, msongo wa mawazo watajwa kuwa chanzo

    Feb 02, 2018 13:02

    Mtoto mkubwa wa aliyekuwa rais wa Cuba, Fidel Castro, Fidel Ángel Castro Díaz-Balart mwenye umri wa miakka 68 jana alikutwa amejiua huko Havana, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Cuba yalaani chuki za Marekani dhidi ya Korea Kaskazini

    Cuba yalaani chuki za Marekani dhidi ya Korea Kaskazini

    Nov 23, 2017 03:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba amelaani vitisho na misimamo ya chuki na ya kuzusha fujo vinavyofanywa na Marekani dhidi ya Korea Kaskazini.

  • Marais wa nchi za Amerika ya Latini wakipongeza chama tawala Venezuela kwa kuwashinda wapinzani marafiki wa Magharibi

    Marais wa nchi za Amerika ya Latini wakipongeza chama tawala Venezuela kwa kuwashinda wapinzani marafiki wa Magharibi

    Oct 16, 2017 13:07

    Marais wa nchi za Bolivia, Nicaragua na Cuba sambamba na kukaribisha ushindi wa chama tawala cha Kisosholisti nchini Venezuela kwa kuibuka mshindi katika uchanguzi wa magavana wa majimbo ya nchi hiyo uliofanyika Jumapili ya jana, wamefurahishwa pia na umoja na mshikamano wa Wavenezuela dhidi ya njama za Wamagharibi.

  • Wanachama UNESCO wakataa wito wa kukaa kimya dakika moja kwa sababu ya Holocaust

    Wanachama UNESCO wakataa wito wa kukaa kimya dakika moja kwa sababu ya Holocaust

    Jul 07, 2017 22:22

    Wito uliotolewa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika kikao cha Shirika la Elimu, Syansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) wa kunyamaza kimya dakika moja ili kuonesha heshima kwa eti wahanga wa mauaji ya Holocaust umekabiliwa na upinzani mkali wa mwakilishi wa Cuba katika kikao hicho.

  • Trump na maonyesho ya kusimama kidete mbele ya Cuba

    Trump na maonyesho ya kusimama kidete mbele ya Cuba

    Jun 17, 2017 23:20

    Rais Donald Trump wa Marekani amefuta sehemu ya mapatano yaliyofikiwa kati ya Washington na Havana wakati wa utawala wa Rais Barack Obama ikiwa ni katika juhudi za kutekeleza ahadi alizotoa wakati wa uchaguzi.

  • Iran yaomboleza kifo cha Fidel Castro

    Iran yaomboleza kifo cha Fidel Castro

    Nov 26, 2016 12:29

    Rais Hassan Rouhani wa Iran ametuma salamu za rambirambi kwa taifa na serikali ya Cuba kufuatia kuaga dunia Fidel Castro, Kiongozi wa Mapinduzi ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS