Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Raia karibu 2000 wa Ufaransa ni wapiganaji wa kundi la kigaidi la ISIS

    Raia karibu 2000 wa Ufaransa ni wapiganaji wa kundi la kigaidi la ISIS

    Oct 29, 2017 07:56

    Kuna raia 1,910 wa Ufaransa ambao ni wapiganaji wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.

  • Kamanda wa Badr: Itikadi za Kiwahabi zinachochea ugaidi

    Kamanda wa Badr: Itikadi za Kiwahabi zinachochea ugaidi

    Oct 29, 2017 03:04

    Kamanda wa kikosi cha wananchi wa Iraq cha Badr amesema kuwa Daesh na makundi mengine ya kigaidi katika eneo la Mashariki ya Kati yanaongozwa na fikra na itikadi za Kiwahabi za Saudi Arabia.

  • Uingereza yataka raia wake waliojiunga na ISIS Syria wauawe

    Uingereza yataka raia wake waliojiunga na ISIS Syria wauawe

    Oct 24, 2017 04:31

    Uingereza inataka raia wake waliojiunga na kundi la kigaidi la ISIS au Daesh nchini Syria wauawe kabla ya kupata fursa ya kurejea nyumbani.

  • Jeshi la Misri laangamiza wanachama 24 wa Daesh eneo la Sinai

    Jeshi la Misri laangamiza wanachama 24 wa Daesh eneo la Sinai

    Oct 16, 2017 08:02

    Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuwaua wanachama 24 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika Peninsula ya Sinai, kaskazini mwa nchi.

  • Maghala kadhaa makubwa ya silaha za Marekani na Israel yagunduliwa katika maficho ya Daesh Syria

    Maghala kadhaa makubwa ya silaha za Marekani na Israel yagunduliwa katika maficho ya Daesh Syria

    Oct 15, 2017 14:18

    Maghala kadhaa makubwa ya silaha za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel yamegunduliwa katika maficho ya genge la kigaidi la Daesh (ISIS) katika mji uliokombolewa wa al Mayadin mkoani Dayr al-Zawr, mashariki mwa Syria.

  • Nasrullah: Marekani inazuia kuangamizwa kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh

    Nasrullah: Marekani inazuia kuangamizwa kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh

    Oct 09, 2017 03:48

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani inazuia kuangamizwa kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh huko Syria na inalisaidia kundi hilo kwa silaha kupitia kituo chake cha jeshi huko Syria.

  • Iraq kuwahukumu wanachama wa ISIS, raia wa Ulaya

    Iraq kuwahukumu wanachama wa ISIS, raia wa Ulaya

    Oct 08, 2017 14:12

    Vyombo vya mahakama nchini Iraq vinatazamiwa kuwatolea hukumu ikiwemo hukumu ya kifo, makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) raia wa nchi za Ulaya.

  • Jeshi la Iraq laukomboa mji wa Hawija kutoka makucha ya ISIS

    Jeshi la Iraq laukomboa mji wa Hawija kutoka makucha ya ISIS

    Oct 05, 2017 08:04

    Jeshi la Iraq limetangaza kuukomboa mji wa kistratijia wa Hawija kutoka katika makucha ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.

  • Makamanda 7 wa Daesh waangamizwa katika mashambulizi ya ndege za kivita za Russia huko Syria

    Makamanda 7 wa Daesh waangamizwa katika mashambulizi ya ndege za kivita za Russia huko Syria

    Oct 03, 2017 14:29

    Wizara ya Ulinzi ya Russia leo imetangaza habari ya kuuawa makamanda saba wa kundi la kigaidi la Daesh katika mashambulizi ya anga ya ndege za kivita za nchi hiyo huko Syria.

  • Iran: Kujitenga Kurdistan na Iraq kutalipa nguvu Daesh na Israel

    Iran: Kujitenga Kurdistan na Iraq kutalipa nguvu Daesh na Israel

    Oct 01, 2017 15:26

    Hussein Amir-Abdullahian, Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kimataifa ya Bunge la Iran amesema hatua ya Massoud Barzani, Rais wa Serikali ya Eneo la Kurdistan ya kushinikiza kujitenga eneo hilo na serikali kuu ya Iraq ni sawa na kulishajiisha kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh na kutumikia maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS