Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Russia yaua zaidi ya magaidi 2300 katika kipindi cha siku 10 nchini Syria

    Russia yaua zaidi ya magaidi 2300 katika kipindi cha siku 10 nchini Syria

    Oct 01, 2017 03:53

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imeashiria kushindwa vibaya magaidi wa Daesh (ISIS) na Jabhatunnusra nchini Syria na kusema kuwa, ndege za kivita za Russia zimeua magaidi 2,359 na kujeruhi wengine 2,700 katika kipindi cha siku kumi zilizopita.

  • Makumi ya shule zafungwa na magaidi wa Daesh nchini Afghanistan

    Makumi ya shule zafungwa na magaidi wa Daesh nchini Afghanistan

    Sep 14, 2017 04:42

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) limefunga shule 73 katika mkoa wa Jozjan, kaskazini mwa Afghanistan sambamba na kupora vifaa vya masomo.

  • Aslimia 85 ya ardhi ya Syria imekombolewa toka mikononi mwa magaidi

    Aslimia 85 ya ardhi ya Syria imekombolewa toka mikononi mwa magaidi

    Sep 13, 2017 02:32

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema jeshi la Syria limefanikiwa kukomboa asilimia 85 ya ardhi yake iliyokuwa ikidhibitiwa na magenge ya kigaidi.

  • Syria: Tunaifahamu Marekani kama adui yetu na muungaji mkono wa magaidi

    Syria: Tunaifahamu Marekani kama adui yetu na muungaji mkono wa magaidi

    Sep 11, 2017 08:18

    Faisal Mekdad, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema kuwa makundi ya kigaidi yanayochafua usalama wa nchi hiyo yanaungwa mkono kikamilifu na kusaidiwa na Marekani na kwamba Washington ni adui mkubwa wa Syria.

  • EU yazitahadharisha nchi wanachama kutokana na mashambulizi ya kigaidi

    EU yazitahadharisha nchi wanachama kutokana na mashambulizi ya kigaidi

    Sep 07, 2017 14:37

    Kamishna wa Usalama wa Umoja wa Ulaya, Julian King amezionya nchi wanachama kutokana na wimbi la mashambulizi mapya ya makundi ya kigaidi.

  • Hezbollah: Kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) lilianzishwa na Marekani

    Hezbollah: Kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) lilianzishwa na Marekani

    Sep 07, 2017 07:52

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sheikh Naeem Qassim amesema kundi la kigaidi la ISIS au Daesh liliundwa na Marekani kwa lengo la kutumiwa kuiangusha serikali halali ya Syria inayoongozwa na Rais Bashar al Assad.

  • Syria yamiminiwa pongezi kwa ushindi wa kistratajia dhidi ya ISIS, Deir ez-Zor

    Syria yamiminiwa pongezi kwa ushindi wa kistratajia dhidi ya ISIS, Deir ez-Zor

    Sep 06, 2017 07:14

    Duru mbali mbali za kieneo na kimataifa zimeendelea kuipongeza serikali ya Syria baada ya wanajeshi wake kufanikiwa kufika katika mji wa Deir ez-Zor na kuvunja mzingiro wa miaka mitatu uliokuwa umewekwa na kundi la kigaidi la Dash (ISIS).

  • Viongozi wa Daesh waendelea kujisalimisha kwa askari wa Iraq, wengine wauawa

    Viongozi wa Daesh waendelea kujisalimisha kwa askari wa Iraq, wengine wauawa

    Sep 06, 2017 03:54

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh limemuua mmoja wa makamanda wake wa ngazi ya juu baada ya kutaka kujisalimisha kwa askari wa Kikurdi wa Peshmerga.

  • Jeshi la Syria lavunja mzingiro wa ISIS Deir ez-Zor

    Jeshi la Syria lavunja mzingiro wa ISIS Deir ez-Zor

    Sep 05, 2017 14:02

    Jeshi la Syria, likipata himaya ya wapiganaji waitifaki, limefanikiwa kufika katika mji wa Deir ez-Zor na kuvunja mzingiro wa miaka mitatu uliokuwa umewekwa na kundi la kigaidi la ISIS katika mji huo.

  • Jeshi la Syria lavunja mzingiro wa miaka 3 wa Dayr al-Zawr

    Jeshi la Syria lavunja mzingiro wa miaka 3 wa Dayr al-Zawr

    Sep 04, 2017 07:48

    Kundi la kwanza la jeshi la Syria na wapiganaji wa Hizbullah limeingia katika mji wa Dayr al-Zawr uliokuwa ukizingirwa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Daesh kwa kipindi cha miaka 3.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS