-
Madaktari Wairani kuwatibu Wairaqi waliohujumiwa na ISIS
Mar 13, 2016 04:06Timu ya madaktari wa Iran wameelekea Iraq kuwasaidia waathirika wa hivi karibuni wa hujuma ya silaha za sumu zilizotumiwa na kundi la kigaidi la ISIS au Daesh katika mkoa wa Kirkuk.
-
Tunisia yaangamizi Madaesh wengine 5 karibu na mpaka na Libya
Mar 09, 2016 04:26Jeshi la Tunisia limesema kuwa limefanikiwa kuangamiza wanamgambo wengine watano wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh karibu na mpaka wa nchi hiyo na Libya.
-
'Mji mkuu' wa Daesh nchini Syria wakumbwa na uasi na upinzani
Mar 07, 2016 12:49Makumi ya watu wameuawa baada ya kuzuka uasi wa wananchi katika mji wa Raqqa ambao kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limeufanya mji mkuu wake ndani ya ardhi ya Syria.
-
Magaidi wa ISISI wanaenea kwa kasi ya kuogofya Libya
Mar 05, 2016 23:09Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ameonya kuwa magaidi wakufurishaji wa Daesh wanaenea kwa kasi ya kuogofya nchini Libya.
-
Saudia, Uturuki ni waungaji mkono wakuu wa ISIS
Feb 26, 2016 23:32Mshauri wa Rais wa Syria amesema kuwa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh linaweza kuangamizwa haraka iwapo baadhi ya nchi za eneo hasa Uturuki na Saudi Arabia zitaacha kuliunga mkono kifedha na kisiasa kundi hilo la wakufurishaji.
-
Rais Assad: Uchaguzi wa bunge Syria kufanyika Aprili
Feb 23, 2016 04:17Rais Bashar al-Assad wa Syria ametangaza tarehe 13 Aprili mwaka huu 2016 kuwa siku ya uchaguzi wa bunge nchini humo.
-
Libya yatahadharishwa kuhusu mashambulizi zaidi ya Daesh
Feb 23, 2016 00:08Mkuu wa Shirika la Mafuta la Taifa nchini Libya ametahadharisha kwamba, kuna uwezekano kundi la kigaidi la Daesh likafanya mashambulizi zaidi dhidi ya taasisi na vituo vya mafuta nchini humo maadamu hakujaundwa serikali ya umoja wa kitaifa.
-
Morocco yazima shambulio la Daesh, magaidi kadhaa wakamatwa
Feb 21, 2016 12:31Morocco imesema kuwa imefanikiwa kuzima shambulio la kemikali lililokuwa limepangwa kufanywa na mtandao mmoja wa kigaidi unaohusishwa na kundi la kitakfiri la Daesh.
-
Daesh yaendeleza jinai zake, yachinja mabarobaro 17 Iraq
Feb 19, 2016 23:37Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limeua vijana 17 kwa kuwakata vichwa katika mkoa wa Kirkuk, kaskazini mwa Iraq.
-
Carter: Kundi la Daesh linakaribia kupata silaha za kemikali
Feb 19, 2016 04:13Waziri wa Ulinzi wa Marekani amesema kuna uwezekano kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh likapata silaha za kemikali.