Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Umoja wa Mataifa wakataa kushambuliwa Daesh Libya

    Umoja wa Mataifa wakataa kushambuliwa Daesh Libya

    Feb 17, 2016 11:40

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya amesema kuwa, huenda hivi sasa usiwe wakati mwafaka wa kufanya operesheni za kijeshi dhidi ya magaidi wa Daesh nchini Libya.

  • Bennett: Marekani imelipa kundi la Daesh silaha za kemikali

    Bennett: Marekani imelipa kundi la Daesh silaha za kemikali

    Feb 17, 2016 00:08

    Afisa wa zamani wa jeshi la Marekani amesema kuwa silaha za kemikali zinazomilikiwa na kundi la Daesh zimetoka Marekani.

  • Daesh yafanya jinai kubwa katika mji wa Mosul, Iraq

    Daesh yafanya jinai kubwa katika mji wa Mosul, Iraq

    Feb 16, 2016 11:39

    Kundi la kigaidi la Daesh limewanyonga raia zaidi ya elfu moja katika eneo la Mosul huko Iraq.

  • CIA: Kundi la Daesh linatumia silaha za kemikali

    CIA: Kundi la Daesh linatumia silaha za kemikali

    Feb 12, 2016 04:40

    Shirika la Kijasusi la Marekani CIA limesema kuwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh linatumia silaha za kemikali katika mashambulizi yake.

  • Daesh 40 wauawa Sinai, Misri

    Daesh 40 wauawa Sinai, Misri

    Feb 11, 2016 00:23

    wapiganaji zaidi ya 40 wa kundi la kigaidi la Daesh wameuawa huko kaskazini mwa Sinai nchini Misri.

  • Tahadhari kuhusu kujiimarisha Daesh huko Libya

    Tahadhari kuhusu kujiimarisha Daesh huko Libya

    Feb 09, 2016 22:12

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu juhudi za kundi la kigaidi la Daesh za kuimarisha ushawishi wake huko Libya.

  • Russia yakamata magaidi wa ISIS, yazuia hujuma za kigaidi

    Russia yakamata magaidi wa ISIS, yazuia hujuma za kigaidi

    Feb 08, 2016 23:00

    Vikosi vya usalama Russia vimewakamata magaidi saba wa kundi la ISIS (Daesh) ambao walikuwa wanapanga kufanya mashambulizi ya kigaidi katika miji kadhaa kote Russia.

  • Kamanda Msaudi wa ISIS auawa Iraq

    Kamanda Msaudi wa ISIS auawa Iraq

    Feb 07, 2016 10:32

    Kamanda wa ngazi za juu wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh ameuawa nchini Iraq katika hujuma ya ndege za kivita mkoani Ninevah.

  • Zarif: Usalama haupatikani kwa kuvuruga usalama wa wengine

    Zarif: Usalama haupatikani kwa kuvuruga usalama wa wengine

    Feb 07, 2016 10:21

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema usalama na maslahi hayapatikani mkabala wa kuvuruga usalama na kutozingatia maslahi ya wengine.

  • Katibu Mkuu wa UN atahadharisha kuenea kwa harakati za Daesh duniani

    Katibu Mkuu wa UN atahadharisha kuenea kwa harakati za Daesh duniani

    Feb 06, 2016 11:32

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema, hadi mwishoni mwa mwaka uliopita makundi zaidi ya 30 ya kigaidi yalitangaza utiifu wao wa kushirikiana na kundi la kitakfiri la Daesh.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS