Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Darfur

  • Mashambulio ya siku tatu mtawalia ya RSF yaua watu 450 Darfur, magharibi mwa Sudan

    Mashambulio ya siku tatu mtawalia ya RSF yaua watu 450 Darfur, magharibi mwa Sudan

    Apr 14, 2025 06:11

    Harakati ya Jeshi la Ukombozi wa Sudan, inayoongozwa na Minni Arko Minnawi (SLA-Minnawi), gavana wa jimbo la Darfur magharibi mwa nchi hiyo, imetangaza kuwa watu 450 wameuawa kutokana na mashambulizi ya siku ya tatu mtawalia yaliyofanywa na wapiganaji wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF) katika mji wa El Fasher, makao makuu ya eneo hilo, na kwenye kambi za wakimbizi.

  • UNICEF: Machafuko na njaa vinatishia maisha ya maelfu ya watoto wa Sudan

    UNICEF: Machafuko na njaa vinatishia maisha ya maelfu ya watoto wa Sudan

    Mar 29, 2025 03:11

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limetangaza kuwa, ghasia na njaa vinatishia maisha ya watoto wa Sudan hususan katika mzozo wa jimbo la Darfur Kaskazini.

  • Ripoti ya UN: RSF inashambulia na kuua raia Darfur, Sudan kwa msingi wa ukabila

    Ripoti ya UN: RSF inashambulia na kuua raia Darfur, Sudan kwa msingi wa ukabila

    Mar 02, 2024 03:08

    Ripoti mpya ya wataalamu wa Umoja wa Mataifa imesema, Vikosi vya Usaidizi wa Haraka RSF pamoja na wanamgambo vinaoshirikiana nao wanaopigania kutwaa madaraka nchini Sudan wamefanya mauaji ya kikabila na ubakaji wakati wa udhibiti wa eneo kubwa la Darfur magharibi mwa nchi hiyo, na kwamba vitendo hivyo vinaweza kuwa uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binadamu.

  • UNHCR: Watu elfu nne wameuliwa Darfur, Sudan, mali za raia zimeharibiwa

    UNHCR: Watu elfu nne wameuliwa Darfur, Sudan, mali za raia zimeharibiwa

    Oct 18, 2023 03:50

    Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limesema, watu wapatao 4,000 wameuawa huku mali za raia zikiharibiwa katika mapigano yanayoendelea huko jimboni Darfur nchini Sudan, mapigano ambayo yalianzia kwenye mji mkuu Khartoum miezi sita iliyopita na kusambaa hadi nje ya mji huo, kati ya Jeshi la Serikali (SAF) na wanamgambo wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF).

  • Umoja wa Mataifa wataka kusitishwa mara moja 'mauaji ya kiholela' huko Darfur, Sudan

    Umoja wa Mataifa wataka kusitishwa mara moja 'mauaji ya kiholela' huko Darfur, Sudan

    Jun 25, 2023 11:51

    Umoja wa Mataifa umetaka kusitishwa haraka iwezekanavyo mauaji ya kiholela ya raia wanaokimbia mapigano huko Darfur magharibi mwa Sudan. Umoja wa Mataifa umesema kuwa maelfu ya miili ya watu ambayo haijazikwa imesalia mitaani na ndani ya nyumba katika jimbo hilo lililoathiriwa na vita.

  • Watu 24 wauawa katika mapigano ya kikabila Darfur, Sudan

    Watu 24 wauawa katika mapigano ya kikabila Darfur, Sudan

    Apr 14, 2023 02:28

    Serikali ya Sudan imetangaza kuwa itachukua hatua kuunda jimbo jipya huko Darfur magharibi mwa nchi hiyo fikapo mwishoni mwa mwaka huu; eneo linalopakana na Chad na Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Watu 200 wauawa katika jimbo la Darfur, jeshi la Sudan linatuhumiwa kuhusika

    Watu 200 wauawa katika jimbo la Darfur, jeshi la Sudan linatuhumiwa kuhusika

    Apr 27, 2022 03:48

    Zaidi ya watu 200 wameuawa huko Darfur, magharibi mwa Sudan kwenye mpaka wa nchi hiyo na Chad, katika mapigano mapya ambayo yalianza hapa na pale katika eneo hilo na baadaye yakageuka kuwa mapigano makali.

  • Watu 160 wauawa katika mapigano mapya Darfur, Sudan

    Watu 160 wauawa katika mapigano mapya Darfur, Sudan

    Apr 25, 2022 10:40

    Watu wasiopungua 160 wameuawa katika jimbo la Darfur, magharibi mwa Sudan baada ya kuibuka mapigano baina ya makundi mawili hasimu.

  • Mapigano ya kikabila Darfur yasababisha vifo vya makumi ya watu

    Mapigano ya kikabila Darfur yasababisha vifo vya makumi ya watu

    Apr 01, 2022 10:25

    Mapigano makali kati ya makundi hasimu huko Darfur nchini Sudan yamesababisha takriban watu 45 kuuawa, huku viongozi wa kikabila wakiripoti kwamba mapigano hayo ni sehemu ya ghasia za kikabila zinazoendelea katika eneo hilo.

  • Watu 16 wauawa katika mapigano ya kikabila Darfur, Sudan

    Watu 16 wauawa katika mapigano ya kikabila Darfur, Sudan

    Mar 09, 2022 10:22

    Watu wasiopungua 16 wameuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa katika mapigano ya kikabila katika mkoa wa Darfur Magharibi nchini Sudan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS