Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani akosoa matamshi ya kibaguzi ya rais wa nchi hiyo

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani akosoa matamshi ya kibaguzi ya rais wa nchi hiyo

    Aug 28, 2017 02:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amekosoa matamshi ya kibaguzi yaliyotolewa na Rais Donald Trump wa nchi hiyo.

  • Trump, rais anayechukiwa zaidi katika historia ya Marekani

    Trump, rais anayechukiwa zaidi katika historia ya Marekani

    Aug 26, 2017 10:56

    Rais Donald Trump wa Marekani ameshinda tuzo ya kuwa rais anayechukiwa zaidi katika historia ya nchi hiyo.

  • Clinton: Trump ni mtu mchafu, mpapasaji wanawake

    Clinton: Trump ni mtu mchafu, mpapasaji wanawake

    Aug 24, 2017 09:27

    Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Marekani, Hillary Clinton aliyechuana na Donald Trump katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais wa Marekani amesema katika kitabu chake kitakachochapishwa siku chachde zijazo kuhusu matukio ya kampeni za uchaguzi huo kwamba Trump ni mtu mchafu na muovu.

  • Boston Herald: Warepublican wametiwa wasiwasi na hatua za Rais Trump

    Boston Herald: Warepublican wametiwa wasiwasi na hatua za Rais Trump

    Aug 21, 2017 22:10

    Gazeti moja linalochapishwa nchini Marekani limeandika katika ripoti yake kuwa wawakilishi wa chama cha Republican wanatiwa wasiwasi na hatua zinazochukuliwa na Rais wa nchi hiyo.

  • Imamu wa jamaa katika jimbo la Michigan US, asema Trump kuwa ni mnafiki

    Imamu wa jamaa katika jimbo la Michigan US, asema Trump kuwa ni mnafiki

    Aug 21, 2017 03:50

    Imamu wa jamaa wa kituo cha Kiislamu katika jimbo la Michigan nchini Marekani, amesema kuwa misimamo ya kibaguzi ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo ni alama ya wazi ya undumakuwili na miamala isiyozingatia usawa.

  • Mkuu wa Ofisi ya Baraza la Mahusiano ya Kiislamu US akosoa matamshi ya kibaguzi ya Trump

    Mkuu wa Ofisi ya Baraza la Mahusiano ya Kiislamu US akosoa matamshi ya kibaguzi ya Trump

    Aug 20, 2017 22:02

    Mkuu wa Ofisi ya Baraza la Mahusiano ya Kiislamu nchini Marekani katika eneo la kaskazini mwa jimbo la Texas amekosoa vikali matamshi ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo katika kuunga mkono kundi la wazungu wanaojikweza na kujiona bora kuliko watu wengine.

  • Mshauri wa masuala ya kidini wa Trump ajiuzulu kupinga sera za kibaguzi za rais wa Marekani

    Mshauri wa masuala ya kidini wa Trump ajiuzulu kupinga sera za kibaguzi za rais wa Marekani

    Aug 19, 2017 23:52

    Mchungaji wa Kanisa la New York amejiuzulu kama mshauri wa masuala ya kidini wa Rais Donald Trump wa Marekani akipinga uungaji mkono wa kiongozi huyo kwa makundi ya wabaguzi wa rangi.

  • Trump: Waueni Waislamu kwa risasi zilizotumbukizwa kwenye damu ya nguruwe

    Trump: Waueni Waislamu kwa risasi zilizotumbukizwa kwenye damu ya nguruwe

    Aug 18, 2017 03:39

    Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa kutoa kauli za chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu, Rais Donald Trump wa Marekani ametoa matamshi yanayoashiria kutaka baadhi ya waumini wa Kiislamu kuuawa kwa kutumia risasi zilizotumbukizwa kwenye damu ya nguruwe.

  • Mwanastratijia wa Trump: Mgogoro wa Korea Kaskazini hauna njia ya utatuzi wa kijeshi

    Mwanastratijia wa Trump: Mgogoro wa Korea Kaskazini hauna njia ya utatuzi wa kijeshi

    Aug 17, 2017 23:36

    Mwanastratijia wa ngazi ya juu wa ikulu ya Marekani (White House) ametoa matamshi yanayopingana na vitisho vya Rais Donald Trump wa nchi hiyo dhidi ya Pyongyang na kusema kuwa, suala la Korea Kaskazini halina njia ya utatuzi wa kijeshi.

  • Venezuela yajibu mapigo baada ya vitisho vya uingiliaji kijeshi wa Trump

    Venezuela yajibu mapigo baada ya vitisho vya uingiliaji kijeshi wa Trump

    Aug 15, 2017 03:05

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ameliagiza jeshi la nchi hiyo kufanya luteka ya nchi nzima ikiwa ni radiamali kwa vitisho vilivyotolewa hivi karibuni na Rais Donald Trump wa Marekani aliyesema kuwa chaguo la kuishambulia kijeshi nchi hiyo lipo mezani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS