Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ebola

  • UN: Kunahitajika mamilioni ya dola kwa ajili ya kupambana na Ebola, DRC

    UN: Kunahitajika mamilioni ya dola kwa ajili ya kupambana na Ebola, DRC

    Jul 15, 2019 07:02

    Mkuu wa masuala ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, mlipuko wa ugonjwa wa Ebola huko katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo huwenda ukaendelea kuwepo kwa kipindi kirefu, kuua idadi zaidi ya watu na kugharibu fedha nyingi iwapo nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa hazitatoa mamia ya mamilioni ya dola kwa sasa kwa ajili ya kupambana na kasi ya ugonjwa huo.

  • Mgonjwa mwenye dalili za Ebola Kenya awekwa karantini

    Mgonjwa mwenye dalili za Ebola Kenya awekwa karantini

    Jun 17, 2019 08:01

    Mgonjwa anayeshukiwa kuwa na Ebola nchini Kenya amewekwa katika karantini katika Hospitali ya Kericho magharibi mwa nchi hiyo.

  • Mtu wa pili afariki dunia kwa Ebola Uganda, mijumuiko hadharani marufuku Kasese

    Mtu wa pili afariki dunia kwa Ebola Uganda, mijumuiko hadharani marufuku Kasese

    Jun 13, 2019 07:21

    Uganda imepiga marufuku mijumuiko hadharani katika Wilaya ya Kasese baada ya ugonjwa hatari wa Ebola kuibuka katika eneo hilo.

  • Ebola yaua katika kesi ya kwanza ya ugonjwa huo nchini Uganda

    Ebola yaua katika kesi ya kwanza ya ugonjwa huo nchini Uganda

    Jun 12, 2019 08:28

    Kijana aliyekuwa na umri wa miaka mitano ameaga dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola, hii ikiwa ni kesi ya kwanza ya maradhi hayo hatari kuthibitishwa katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Kesi nyingine elfu moja za Ebola zagunduliwa DRC

    Kesi nyingine elfu moja za Ebola zagunduliwa DRC

    Jun 09, 2019 22:06

    Hujuma na mashambulizi dhidi ya makundi ya madaktari Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni kikwazo kikubwa cha kupambana na ugonjwa hatari wa Ebola nchini humo.

  • Jeshi la DRC laua wanamgambo 26 katika mji ulioathiriwa na Ebola

    Jeshi la DRC laua wanamgambo 26 katika mji ulioathiriwa na Ebola

    May 30, 2019 21:58

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza habari ya kuua wanamgambo 26 karibu na mji wa Beni ulioathiriwa na ugonjwa hatari wa Ebola, mashariki mwa nchi.

  • Tishio la ugonjwa wa Ebola kuenea kote Afrika Mashariki

    Tishio la ugonjwa wa Ebola kuenea kote Afrika Mashariki

    May 26, 2019 03:07

    Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC imetahadahrisha kuhusu tishio la ugonjwa hatari wa Ebola kuenea katika nchi za jumuiya hiyo.

  • Mapigano katika mji ulioathiriwa na Ebola DRC yaua watu 9

    Mapigano katika mji ulioathiriwa na Ebola DRC yaua watu 9

    May 08, 2019 09:15

    Kwa akali watu tisa wameripotiwa kupoteza maisha katika mapigano baina ya askari wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na wanamgambo waliobeba silaha katika mji wa Butembo ulioathiriwa na ugonjwa hatari wa Ebola.

  • CAFOMI: Wahamiaji haramu kutoka DRC yumkini wakaeneza Ebola Uganda

    CAFOMI: Wahamiaji haramu kutoka DRC yumkini wakaeneza Ebola Uganda

    May 03, 2019 09:11

    Uganda imejiweka katika hali ya tahadhari kutokana na kuongezeka wasiwasi juu ya uwezekano wa kuenea hadi nchini humo ugonjwa hatari wa Ebola kutoka nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambayo inapambana na mlipuko wa homa hiyo.

  •  Ugonjwa wa Ebola umeua watu 900 DRC tokea Agosti 2018

    Ugonjwa wa Ebola umeua watu 900 DRC tokea Agosti 2018

    Apr 27, 2019 20:45

    Ugonjwa wa Ebola umeua watu wapatao 900 huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) tokea uibuke Agosti mwaka 2018.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS