Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

gesi

  • Sisitizo la Pakistna la kuhitajia mno gesi ya Iran

    Sisitizo la Pakistna la kuhitajia mno gesi ya Iran

    Mar 30, 2024 02:31

    Musadik Masood Malik, Waziri wa Mafuta wa Pakistan amesema kuwa nchi yake inahitajia mno gesi ya Iran na kwamba msimamo wa Islamabad uko wazi kuwa, kukamilishwa mradi wa kupelekwa gesi ya Iran nchini Pakistan ni jambo la dharura.

  • Waziri: Uzalishaji wa gesi ya Iran umeongezeka licha ya vikwazo

    Waziri: Uzalishaji wa gesi ya Iran umeongezeka licha ya vikwazo

    Mar 03, 2024 04:39

    Waziri wa Mafuta wa Iran amesema uzalishaji wa gesi ya Jamhuri ya Kiislamu umeendelea kuongezeka siku baada ya siku, licha ya vikwazo vya Wamagharibi dhidi ya sekta ya nishati ya taifa hili.

  • Ununuzi wa mafuta kutoka Iran, nembo ya kufeli sera za vikwazo za Magharibi

    Ununuzi wa mafuta kutoka Iran, nembo ya kufeli sera za vikwazo za Magharibi

    Jun 15, 2023 02:23

    Takwimu mpya zilizotolewa na Kituo cha Takwimu cha Ulaya (Eurostat) zinaonyesha kuwa, kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2018, Ujerumani imeagiza shehena kubwa ya mafuta au bidhaa za petroli kutoka Iran licha ya vikwazo vya Marekani.

  • Qatar: Hatutoi gesi ya wateja wa Asia kwenda Ulaya

    Qatar: Hatutoi gesi ya wateja wa Asia kwenda Ulaya

    Oct 19, 2022 08:10

    Waziri wa Masuala ya Nishati wa Qatar ametangaza kuwa haitazamiwi katika msimu ujao wa baridi kali shehena ya gesi iliyopangwa kwenda Asia kuelekea Ulaya.

  • Nasrullah: Macho na makombora yetu yameelekezwa kwenye medani ya gesi ya Karish

    Nasrullah: Macho na makombora yetu yameelekezwa kwenye medani ya gesi ya Karish

    Sep 17, 2022 11:59

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah, amesema leo Jumamosi kwamba macho na makombora ya harakati hiyo yameelekezwa kwenye medani ya gesi ya Karish, ambao inazozaniwa baina ya Lebanon na utawala haramu wa Israel.

  • Mzozo mpya wa Russia na Magharibi kuhusu nishati

    Mzozo mpya wa Russia na Magharibi kuhusu nishati

    Sep 04, 2022 03:38

    Mawaziri wa fedha wa nchi saba zilizoendelea kiviwanda duniani, zinazojulikana kama G7, walikubaliana Ijumaa, Septemba 2, katika mkutano uliofanyika kwa njia ya video, kuweka mipaka ya bei kwa mauzo ya mafuta ya Russia.

  • Kupamba moto vita vya nishati barani Ulaya

    Kupamba moto vita vya nishati barani Ulaya

    Sep 02, 2022 02:27

    Suala la kudhaminiwa mahitaji ya gesi kwa nchi za Ulaya sasa limekuwa tatizo sugu kwa nchi hizo. Nchi za Ulaya, ambazo ziliamua kuiwekea Russia vikwazo vya kila aina ili kuishinikiza katika vita vya Ukraine, sasa zinaituhumu Moscow kwamba inaitumia gesi kama silaha ya vita.

  • Russia: Hatuna nia ya kuzikatia gesi kikamilifu nchi za Ulaya

    Russia: Hatuna nia ya kuzikatia gesi kikamilifu nchi za Ulaya

    Jul 26, 2022 02:28

    Msemaji wa Ikulu ya Russia (Kremlin) amesema kuwa, Moscow haina nia ya kuzikatia kikamilifu gesi yake nchi za Ulaya.

  • Kusimamishwa usafirishaji wa gesi ya Russia kwenda Ulaya

    Kusimamishwa usafirishaji wa gesi ya Russia kwenda Ulaya

    Jul 14, 2022 03:18

    Usafirishaji wa gesi ya Russia kwenda Ujerumani kupitia bomba la "Nord Stream 1" katika Bahari ya Baltic, ulisimamishwa Jumatatu kwa muda wa siku 10.

  • Kuendelea mtikisiko katika soko la nishati, Russia yaikatia gesi Ufaransa

    Kuendelea mtikisiko katika soko la nishati, Russia yaikatia gesi Ufaransa

    Jun 20, 2022 02:33

    Huku vita vya Russia na Ukraine vikiendelea na vikwazo vya nchi za Magharibi kuwekewa Moscow, mauzo ya gesi ya Russia kwa Ulaya yamepungua sana na kuziacha nchi nyingi za bara hilo zikikumbwa na tatizo la kujidhaminia nishati na kuongezeka gharama ya bidhaa hiyo muhimu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS