-
El Baradei akosoa ukandamizaji dhidi ya wafungwa wa kisiasa Misri
Mar 03, 2019 23:10Makamu wa zamani wa rais wa Misri amekosoa ukandamizaji unaofanywa na serikali ya nchi hiyo dhidi ya wafungwa wa kisiasa ikiwa ni pamoja na kuzuia familia za wafungwa hao kuwatembelea korokoroni kwa kipindi kirefu.
-
Amnesty International: Idadi ya wakimbizi wa Kisaudia nje ya nchi inaongezeka
Feb 17, 2019 01:05Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, idadi ya raia wa Saudi Arabia wanaoomba hifadhi na ukimbizi katika nchi mbalimbali duniani inaendelea kuongezeka na kwamba, hiyo ni ishara ya kuporomoka sana uhuru wa kiraia, kijamii na kidini nchini humo.
-
Hali ya haki za binadamu Bahrain ni mbaya sana
Feb 12, 2019 23:02Kamati ya Kimatiafa ya Haki za Binadamu Eneo la Asia Magharibi imesema hali ya haki za binadamu inazidi kuwa mbaya nchini Bahrain ambapo ukoo wa Aal Khalifa ambao unatawala nchi hiyo umehusika na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.
-
HRW: Jeshi la Burkina Faso limewaua watuhumiwa mbele ya familia zao
Feb 06, 2019 11:55Mashiriki ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu yamelituhumu jeshi la serikali ya Burkina Faso kuwa limewaua kinyama watuhumiwa wa vitendo vya kigaidi tena mbele ya watu wa familia zao.
-
Marekani yashindwa kuzuia uteuzi wa Bachelet kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN
Jan 31, 2019 22:51Jarida la Marekani la Foreign Policy limefichua kwamba, kabla ya kuteuliwa Michelle Bachelet kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Marekani ilifanya jitihada kubwa za kuzuia uteuzi huo lakini jitihada hizo zimeambulia patupu.
-
Umoja wa Mataifa waunda timu ya kuchunguza mauaji ya Khashoggi
Jan 25, 2019 23:28Umoja wa Mataifa umewaarifisha wajumbe wa timu yake ya kimataifa itakayochunguza mauaji ya mwandishi habari mkosoaji wa utawala wa Al Saud.
-
Pembetatu ya kuzua mivutano katika Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi
Jan 18, 2019 23:36Katika ripoti yake ya hivi karibuni, shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kuwa hali ya haki za binadamu katika nchi tatu za Saudi Arabia, Imarati na Bahrain ni ya kutisha mno.
-
Kukamatwa mtangazaji wa Press TV; kashfa mpya ya ukiukaji wa haki za binadamu wa Marekani
Jan 17, 2019 04:50Marekani siku zote imekuwa ikijinadi kuwa moja ya nchi kuu zinazounga mkono uhuru na haki za binadamu duniani na mara kwa mara imekuwa ikizituhumu nchi nyingine kuwa zinakiuka haki za binadamu. Lakini kinyume chake, Marekani ni moja ya nchi zinazokiuka pakubwa haki za binadamu ulimwenguni.
-
UNODC: Idadi ya waathirika wa magendo ya binadamu imeongezeka
Jan 08, 2019 04:06Idadi ya waathirika wa usafirishaji haramu wa binadamu imeongezeka, huku idadi ya makundi yaliyojizatiti kwa silaha na magaidi yakiendelea kusafirisha wanawake na watoto kwa ajili ya kupata fedha na kuwaandikisha kama wafuasi.
-
Amnesty: Ukandamizaji umefikia kileleni Misri katika utawala wa al Sisi
Jan 05, 2019 11:49Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeripoti kuwa, ukandamizaji wa haki ya kujieleza umefikia kileleni katika kipindi cha utawala wa Rais wa sasa wa Misri, Abbel Fattah al Sisi.