Feb 17, 2019 04:35
Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, idadi ya raia wa Saudi Arabia wanaoomba hifadhi na ukimbizi katika nchi mbalimbali duniani inaendelea kuongezeka na kwamba, hiyo ni ishara ya kuporomoka sana uhuru wa kiraia, kijamii na kidini nchini humo.