-
Viongozi wa Palestina wakutana Doha katika kikao nadra cha kutafuta umoja
Oct 28, 2016 10:34Rais Mahmoud Abbas wa mamlaka ya ndani ya Palestina ameshiriki katika mkutano nadra na viongozi wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, mjini Doha, Qatar.
-
Radiamali ya Hamas kwa vitisho vya Waziri wa Vita wa Israel
Oct 25, 2016 04:49Harakati ya Mapambano wa Kiislamu ya Palestina Hamas imepuuzilia mbali vitisho vilivyotolewa hivi karibuni na waziri wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Avigdor Lieberman, akidai kuwa utawala huo utausambaratisha muqawama wa Wapalestina.
-
Kamanda wa jeshi Israel akiri kuhusu nafasi ya Hamas Ukanda wa Ghaza
Oct 21, 2016 04:16Kamanda wa zamani wa jeshi la Israel amekiri kuwa ni vigumu kuifuta Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas.
-
HAMAS yalaani msimamo wa Katibu Mkuu wa UN dhidi ya UNESCO
Oct 20, 2016 04:19Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imemkosoa vikali Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa kuunga mkono sera za kujipanua za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Hamas yaikosoa ICC kwa kutoutembelea Ukanda wa Gaza
Oct 09, 2016 04:48Harakati ya muqawama wa Palestina Hamas imesema safari ya ujumbe wa maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu haina maana na umuhimu wowote, madhali wataalamu hao wa masuala ya sheria watakosa kuutembelea Ukanda wa Gaza.
-
Hamu ya Hamas ya kuimarisha uhusiano na Iran
Oct 06, 2016 04:15Mmoja wa viongozi wa harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema kuwa harakati hiyo ina hamu ya kuimarisha uhusiano kati yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Hamas: Mapambano ya Intifadha ya Quds yataendelea
Oct 01, 2016 23:18Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesisitiza kuendeleza mapambano ya Intifadha ya Wapalestina katika maadhimisho ya mwaka wa kwanza wa Intifadha ya Quds.
-
HAMAS: Intifadha ya Quds itaendelea
Sep 12, 2016 23:45Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuna ulazima wa kuendelezwa Intifadha ya Quds dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Hamas yamtaka Mahmoud Abbas asitishe ukandamizaji
Sep 04, 2016 03:00Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetaka kusitishwa ukandamizaji unoafanywa na Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa wanachama wa harakati hiyo.
-
Hamas yaanza rasmi shughuli zake nchini Algeria
Aug 29, 2016 23:03Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetangaza kuanza rasmi shughuli zake huko Algeria.