Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • Hizbullah yashambulia Israel kwa makombora baada ya kamanda wake kuuawa

    Hizbullah yashambulia Israel kwa makombora baada ya kamanda wake kuuawa

    Jul 05, 2024 02:17

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeshambulia kwa mamia ya makombora kambi kadhaa za kijeshi za utawala wa Kizayuni Israel huko kaskazini mwa ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel, kujibu chokochoko za jeshi hilo katili.

  • Hizbullah: Usitishaji vita Gaza, njia pekee ya kutuliza hali mipaka ya Lebanon

    Hizbullah: Usitishaji vita Gaza, njia pekee ya kutuliza hali mipaka ya Lebanon

    Jul 03, 2024 06:45

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema usitishaji kamili wa vita katika Ukanda wa Gaza ndio njia pekee ya kupatikana amani katika mipaka ya Lebanon na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Gazeti la Kizayuni la Haaretz: Vita na Hizbullah ni

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz: Vita na Hizbullah ni "kujitia kitanzi"

    Jul 01, 2024 02:22

    Gazeti moja la Kizayuni linalochapishwa mjini Tel Aviv limetabiri kuwa, matokeo ya vita vikubwa kati ya utawala wa Kizayuni na Hizbullah ya Lebanon ni sawa na kujitia kitanzi Israel na kushindwa vibaya sana.

  • Arab League yaiondoa Hizbullah katika orodha ya makundi ya kigaidi

    Arab League yaiondoa Hizbullah katika orodha ya makundi ya kigaidi

    Jun 30, 2024 06:56

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imetangaza habari ya kuiondoa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon katika orodha yake ya 'mashirika ya kigaidi'.

  • Kamanda mwingine wa Hizbullah auawa shahidi na droni ya Wazayuni Lebanon

    Kamanda mwingine wa Hizbullah auawa shahidi na droni ya Wazayuni Lebanon

    Jun 18, 2024 08:06

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon inatazamiwa kufanya mashambulizi ya kulipiza kisasi dhidi ya ngome za walowezi wa Kizayuni, baada ya kamanda mwingine mwandamizi wa kundi hilo la muqawama kuuawa shahidi kusini mwa Lebanon.

  • Hizbullah yayatwanga tena kwa makombora maeneo ya Wazayuni

    Hizbullah yayatwanga tena kwa makombora maeneo ya Wazayuni

    Jun 16, 2024 02:44

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imefanya mashambulio mapya dhidi ya maeneo ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuuni ikiwa ni kujibu mauaji ya hivi karibuni ya Israel ya kamanda mmoja mkubwa wa harakati hiyo huko kusini mwa Lebanon.

  • Hizbullah yainyeshea Israel kwa mvua ya maroketi baada ya kamanda kuuawa

    Hizbullah yainyeshea Israel kwa mvua ya maroketi baada ya kamanda kuuawa

    Jun 13, 2024 02:23

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeshambulia kwa mamia ya maroketi ngome na maeneo ya walowezi wa Kizayuni huko kaskazini mwa ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel.

  • Wapalestina 35 wachomwa moto wakiwa hai katika shambulio la kinyama la Israel Rafah

    Wapalestina 35 wachomwa moto wakiwa hai katika shambulio la kinyama la Israel Rafah

    May 27, 2024 03:20

    Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limeshambulia kwa makombora kambi ya watu waliolazimika kuhama makazi yao na kuhamia eneo lililotengwa kuwa na usalama huko Rafah, na kuwaua shahidi Wapalestina 35, wengi wao wakiwa ni wanawake na watoto.

  • Hizbullah, Harakati ya Muqawama Iraq zashambulia ngome za Israel

    Hizbullah, Harakati ya Muqawama Iraq zashambulia ngome za Israel

    May 24, 2024 07:22

    Wanamapambano wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Iraq wamefanya operesheni tofauti dhidi ya kambi na ngome za kijeshi za utawala wa Kizayuni wa Israel, katika maeneo yaliyokaliwa kwa mabavu mwaka 1948, kwa ajili ya kulipiza kisasi cha vita vya umwagaji damu vya Israel dhidi ya Gaza.

  • Kwa mara ya kwanza, Hizbullah yashambulia ndani kabisa ya ngome za Wazayuni tangu vilipoanza vita vya Ghaza

    Kwa mara ya kwanza, Hizbullah yashambulia ndani kabisa ya ngome za Wazayuni tangu vilipoanza vita vya Ghaza

    Apr 24, 2024 02:44

    Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa imefanya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani dhidi ya vituo viwili vya kiejshi vya utawala wa Kizayuni wa Israel kulipiza kisasi cha mauaji ya wapiganaji wake wawili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS