Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Mamluki wa Saudia na Imarati watishiana vita Yemen

    Mamluki wa Saudia na Imarati watishiana vita Yemen

    Apr 19, 2020 07:44

    Kundi la watu wanaopigania kujitenga kusini mwa Yemen linaloungwa mkono na Umoja wa Falme za Kiarabu limetoa onyo kali la kuingia vitani na mamluki wa Saudi Arabia, huku migawanyiko baina ya pande mbili hizo ikiendelea kupanuka.

  • UAE yanunua mfumo wa makombora wa Israel na kuwapa wapiganaji wa Haftar

    UAE yanunua mfumo wa makombora wa Israel na kuwapa wapiganaji wa Haftar

    Apr 13, 2020 03:38

    Umoja wa Falme za Kiarabu umenunua mfumo wa kisasa wa makombora kutoka utawala wa Kizayuni wa Israel, kwa ajili ya kuwapa wanamgambo wa kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya (LNA) linaloongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar.

  • Vibaraka wa Imarati wapigana kusini mwa Yemen

    Vibaraka wa Imarati wapigana kusini mwa Yemen

    Mar 25, 2020 12:23

    Duru za habari zimeripoti kujiri mapigano makali kati ya wanamgambo vibaraka wa Imarati katika mji wa Aden, kusini mwa Yemen.

  • The Guardian: Imarati imempatia Haftari tani 5,000 za silaha

    The Guardian: Imarati imempatia Haftari tani 5,000 za silaha

    Mar 13, 2020 02:50

    Ripoti iliyoandikwa na gazeti la Guardian la Uingereza imefichua kuwa, nchi ya Umoja wa Falme wa Kiarabu (Imarati) imempatia jenerali mstaafu wa Libya, Khalifa Haftar tani elfu tano za silaha tangu mwezi Januari mwaka huu.

  • Mkuu wa Jumuiya ya kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu: Imarati inaeneza chuki na uharibifu duniani

    Mkuu wa Jumuiya ya kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu: Imarati inaeneza chuki na uharibifu duniani

    Feb 29, 2020 02:42

    Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Kiislamu ameishambulia vikali Imarati akiituhumu kuwa inaeneza vita, njama na vinyongo katika pembe mbalimbali za dunia.

  • Imarati yawatumia wapiganaji wa Haftar ndege 100 zilizosheheni silaha

    Imarati yawatumia wapiganaji wa Haftar ndege 100 zilizosheheni silaha

    Feb 25, 2020 08:00

    Imebainika kuwa, ndege 100 za mizigo zilizosheheni silaha na zana za kijeshi zimewasili nchini Libya zikitokea Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).

  • Vijana wa Sudan wasimulia jinsi Abu Dhabi ilivyowapeleka kupigana vita Libya

    Vijana wa Sudan wasimulia jinsi Abu Dhabi ilivyowapeleka kupigana vita Libya

    Feb 16, 2020 02:51

    Vijana wa Kisudan waliorejea makwao hivi karibuni wamesimulia jinsi walivyohadaiwa na kampuni ya Black Shield Security Services iliyowaahaidi kuwapa kazi za ulinzi na badala yake walijikuta wakipewa mafunzo ya kijeshi yasiyooana na kazi zao na kupelekwa bila ya kujua huko Libya na Yemen kupigana vita.

  • Maafisa wa Imarati wafunguliwa mashtaka ya kufanya uhalifu wa kivita huko Yemen

    Maafisa wa Imarati wafunguliwa mashtaka ya kufanya uhalifu wa kivita huko Yemen

    Feb 13, 2020 11:28

    Shirika moja la mawakili la Uingereza limefungua mashtaka dhidi ya maafisa wa serikali ya Imarati kwa tuhuma za kutenda jinai za kivita nchini Yemen.

  • Ripoti ya Independent: Kengele za vita zasikika zaidi katika milango ya Libya

    Ripoti ya Independent: Kengele za vita zasikika zaidi katika milango ya Libya

    Jan 29, 2020 15:05

    Ripoti iliyotolewa na gazeti la Independent la Uingereza imefichua kuwa, mapatano tete ya kusitisha vita yaliyofikiwa hivi karibuni baina ya madola makubwa mjini Berlin huko Ujerumani yanaelekea kuporomoka kutokana na mashambulizi ya anga yanayoshuhudiwa sasa nchini Libya na vitisho vinavyoendelea kutolewa na pande hasimu.

  • Kirusi cha Corona chafika Imarati, Taiwan na Sudan, idadi ya waliofariki dunia inaongezeka

    Kirusi cha Corona chafika Imarati, Taiwan na Sudan, idadi ya waliofariki dunia inaongezeka

    Jan 29, 2020 14:15

    Kirusi hatari cha Corona kimeripotiwa kufika katika nchi za Imarati na Taiwan huku idadi ya watu wanaofariki dunia na kuambukizwa kirusi hicho ikiongezeka kwa kasi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS