-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu juu ya umuhimu wa kushiriki wananchi katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais
Jul 04, 2024 08:01Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameeleza umuhimu wa kushiriki kwa wingi wananchi katika duru ya pili ya uchaguzi wa Rais wa Iran na kusisitiza kuwa, kadiri ushiriki wa wananchi unavyokuwa mkubwa ndivyo serikali pia itakavyoweza kutimiza malengo yake ndani ya nchi na kufuatilia malengo mbalimbali katika kalibu ya mkakati mkuu wa nchi.
-
Vikwazo, dhulma na jinai: Mhimili wa haki za binadamu wa Marekani dhidi ya taifa la Iran
Jul 03, 2024 04:32Ali Bagheri Kani, Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema ukiukaji wa haki za watu wa Iran vikiwemo vikwazo vya kidhalimu dhidi yao, ndio msingi wa haki za binadamu wa Marekani.
-
Mwanadiplomasia wa Iran atahadharisha kuhusu taathira za vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon
Jul 02, 2024 08:23Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ambaye pia ni Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Uhusiano wa Nje la Iran ametahadharisha kuhusu mashambulizi yanayoweza kuanzishwa na utawala unaotekeleza mauaji ya kimbari wa Israel dhidi ya Lebanon.
-
Kamanda Hajizadeh: Muqawama wa Palestina lazima utapata ushindi Gaza
Jul 02, 2024 03:38Kamanda wa Kikosi cha Anga za Mbali cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema hakuna chembe ya shaka kuwa muqawama wa Palestina utapata ushindi wa 'kishindo' mkabala wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
Bagheri: Waliomuunga mkono Saddam katika jinai ya Sardasht wanaunga mkono jinai za Wazayuni Ukanda wa Gaza
Jul 02, 2024 00:43Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika siku ya kumbukumbu ya mashambulizi ya silaha za kemikali katika mji wa Sardasht nchini Iran kwamba: Wale waliounga mkono jinai za utawala wa Saddam Hussein dhidi ya watu wa Sardasht nchini Iran hivi sasa wanaunga mkono jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel huko Ukanda wa Gaza.
-
Jenerali Safavi: Israel 'inayoporomoka' imeshindwa vibaya na muqawama
Jun 30, 2024 23:30Mshauri Mkuu wa Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala kijeshi amesema mrengo wa muqawama umefanikiwa kuushinda na kuusababishia vipigo utawala wa Kizayuni ambao upo katika ncha ya kuporomoka na kusambaratika.
-
Wagombea 2 wa urais Iran kushiriki katika midahalo miwili
Jun 30, 2024 03:27Wagombea wawili wa kiti cha rais nchini Iran, Masoud Pezeshkian na Saeed Jalili wanatazamiwa kushiriki midahalo miwili ya urais kabla ya kufanyika duru ya pili ya uchaguzi huo.
-
Uchaguzi wa rais wa Iran waingia duru ya pili; Pezeshkian kuchuana na Jalili
Jun 29, 2024 09:26Matokeo rasmi na ya mwisho ya duru ya 14 ya uchaguzi wa rais wa kabla ya wakati wa Iran yanaonesha kuwa zoezi hilo litaingia katika duru ya pili.
-
Iran yatoa onyo kali kuhusu vitisho vya Israel dhidi ya Lebanon
Jun 29, 2024 09:25Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ametahadharisha dhidi ya jaribio la utawala wa Kizayuni wa Israel la kupanua wigo wa vita na jinai katika maeneo mengine kwa lengo la kufidia kushindwa kwake katika Ukanda wa Gaza.
-
Uchaguzi wa rais wa Iran waingia duru ya pili, Wairani kupata rais mpya baada ya Ijumaa ijayo
Jun 29, 2024 04:37Matokeo rasmi na ya mwisho ya duru ya 14 ya uchaguzi wa rais wa kabla ya wakati wa Iran yanaonesha kuwa zoezi hilo limeingia katika duru ya pili.