-
Abdollahian: Iran iko tayari kuitatulia dunia mgogoro wa nishati
Jul 27, 2022 21:52Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ipo tayari kukidhi mahitaji ya nishati ya jamii ya kimataifa.
-
Karibuni hivi Ugiriki itarejesha shehena ya mafuta ya Iran iliyoiba
Jul 26, 2022 22:32Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Ugiriki umetangaza kuwa operesheni ya kuyahamisha na kuyarejesha mafuta ya Iran yaliyoibwa itaanza hivi karibuni.
-
"Marekani ikiwa na irada ya kisiasa kama Iran, makubaliano yatafikiwa"
Jul 25, 2022 06:19Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haitakubali kushinikizwa juu ya kufikia haraka muafaka wa kujaribu kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Iran yavunja mtandao wa majasusi wa Mossad ya Israel
Jul 24, 2022 03:14Wizara ya Intelijensia ya Iran imetangaza habari ya kutiwa mbaroni majasusi kadhaa waliokuwa wakitumikia shirika la ujasusi la Israel (Mossad).
-
Mazungumzo kati ya marais wa Iran na Ufaransa; Raisi akosoa sera za kuzusha migogoro za Wamagharibi
Jul 24, 2022 03:04Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, zzimio lililotolewa na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki dhidi ya Iran ni hatua ya kuzusha mgogoro iliyokuwa na lengo la kuliwekea mashinikizo taifa la Iran.
-
Raisi: Azimio la IAEA dhidi ya Iran lilitia doa muamana wa kisiasa
Jul 23, 2022 22:57Rais wa Iran amesema azimio dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu katika Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) lilikuwa na taathira hasi kwa muamana na irada ya kisiasa ya pande husika.
-
Iraq: Kikao kijacho cha Iran na Saudia mjini Baghdad kitafanyika hadharani
Jul 23, 2022 21:53Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amesema, kikao kijacho cha Saudi Arabia na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Baghdad kitakuwa cha mazungumzo ya wazi kutokana na ombi lililotolewa na mrithi wa ufalme wa Saudia.
-
Iran kurusha satalaiti katika anga za mbali karibuni hivi
Jul 23, 2022 06:54Mkuu wa Shirika la Anga za Mbali la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu katika miezi michache ijayo itarusha satalaiti katika anga za mbali.
-
Jenerali Baqeri: Vikosi vya Iran vimekuwa na nafasi kubwa kusambaratisha vikwazo
Jul 21, 2022 08:42Kamanda Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran amesema vikosi vya ulinzi na usalama vya Jamhuri ya Kiislamu vimekuwa na nafasi muhimu katika kuvunja nguzo za kampeni ya maadui ya mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya taifa hili.
-
Kan'ani: Israe haina ubavu wala uthubutu wa kuikabili Iran kijeshi
Jul 19, 2022 21:51Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel hauna ubavu wala ujasiri wa kuingia katika makabiliano ya kijeshi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.