-
Kulinda usalama katika jamii, kipaumbele cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kudhamini haki za binadamu
Nov 25, 2019 09:19Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inatetea haki za binadamu sambamba na kulinda usalama wa wananchi wake kwa sababu haki za binadamu na usalama ni nukta mbili za pamoja zinazotegemeana.
-
Hatua ya Marekani ya kumuwekea vikwazo Waziri wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Iran
Nov 23, 2019 09:00Katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump, Marekani imeiwekea Iran vikwazo vikali ikiwa ni katika kutekeleza siasa zake za mashinikizo ya juu zaidi. Wakati huo huo ghasia zilizotokea hivi karibuni nchini Iran zimetumiwa na serikali ya Washington kuwawekea vikwazo vipya viongozi wa ngazi ya juu wa Iran ikiwa ni katika kuunga mkono ukosefu huo wa amani na wasababishaji wa ghasia hizo.
-
Waziri wa TEHAMA Iran: Vikwazo vya Marekani haviwezi kuzuia maendeleo Iran
Nov 23, 2019 08:16Waziri wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano nchini Iran mapema Jumamosi ametoa kauli baada ya jina lake kuwekwa katika orodha ya vikwazo vya Marekani na kusisitiza kuwa, Washington haiwezi kuzuia maendeleo na ustawi nchini Iran.
-
Ayatullah Khatami: Njama za maadui za kutikisa Mfumo zimegonga mwamba
Nov 22, 2019 09:57Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran ameashiria njama za maadui za kutaka kutoa pigo kwa Mfumo wa Uongozi hapa nchini na kusema: "Hakuna mtu anayepinga watu kushiriki maandamano ya amani, lakini ni wazi maadui walitaka kushinikiza wimbi la ghasia na kuibua ukosefu wa usalama hapa nchini Iran."
-
Watawala wa Marekani waendelea kuunga mkono ghasia za karibuni nchini Iran
Nov 22, 2019 09:33Marekani katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo imezidisha uhasama wake dhidi ya mfumo wa Kiislamu wa Iran na inatekeleza mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Tehran ili eti kuilazimisha ikubali matakwa yake.
-
"Ni fedheha kwa Marekani kuwaunga mkono Wairani wanaofanya fujo"
Nov 19, 2019 04:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ni fedheha kwa Marekani kutangaza wazi wazi kuwa inawaunga mkono wanaofanya fujo na kuzusha ghasia kwa kisingizio cha kulalamikia ongezeko la bei ya petroli hapa nchini.
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi kuhusu udharura wa kutekeleza maamuzi ya wakuu wa nchi na ulazima wa kuwa macho mbele ya wanaotaka kuvuruga utulivu na amani katika jamii
Nov 19, 2019 02:25Katika siku za hivi karibuni, baadhi ya miji ya Iran imeshuhudia ukosefu wa usalama kufuatia uamuzi wa viongozi wa mihimili mitatu ya dola kutekeleza mpango wa usimamizi bora wa mafuta ya petroli. Matukio hayo chungu ambayo yaliandamana na ghasia na utumiaji mabavu na hivyo kupelekea kuharibiwa au kuteketezwa baadhi ya maeneo ya umma pia yamepelekea watu kadhaa ya kupoteza maisha.
-
"Marekani inakusudia kuteka nyara maandamano ya amani ya Wairani"
Nov 18, 2019 08:44Msemaji wa serikali ya Iran amesema Marekani inafanya juu chini ili kupotosha mkondo wa maandamano ya amani ya wananchi wa Iran wanaolalamikia ongezeko la bei ya petroli, lakini njama hizo zitagonga mwamba.
-
Rouhani: Wairani wana haki ya kuandamana bila kufanya fujo
Nov 18, 2019 08:14Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema wananchi wa taifa hili wana haki ya kufanya maandamano, lakini maandamano ya amani ni tofauti na uibuaji wa fujo na hali ya mchafukoge.
-
Iran yapinga azimio la haki za binadamu la UN dhidi yake
Nov 15, 2019 10:20Iran imepinga azimio dhidi yake kuhusu haki za binadamu ambalo limetolewa na Umoja wa Mataifa na kusema limetokana na utashi wa kisiasa, ni mfano wa unafiki na nchi za Magharibi kutumia vibaya mfumo wa Umoja wa Mataifa kulenga nchi huru na zinazojitegemea.