-
Jibu Kali la Iran dhidi ya uchokozi wa Marekani katika Ghuba ya Uajemi
Jun 22, 2019 03:13Kulinda mipaka ya nchi kavu, majini na angani ni haki ya kila nchi na hatua ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kutungua ndege isiyo na rubani ya Marekani iliyoingia katika anga yake kusini mwa nchi imeonesha tena kwamba Iran haitazembea hata kidogo katika kulinda mipaka yake.
-
Iran inashirikiana kiuchumi na zaidi ya nchi 70 duniani
Jun 22, 2019 02:52Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina ushirikiano wa karibu wa kiuchumi na zaidi ya nchi 70 duniani.
-
Russia: Iran inapambana vilivyo na vitendo vya kigaidi
Jun 21, 2019 05:20Katibu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia ameunga mkono kuweko washauri wa kijeshi wa Iran nchini Syria na kusisitiza kuwa, washauri hao wa kijeshi wako nchini humo kwa mwaliko rasmi wa serikali ya Damascus.
-
Russia yakosoa vikali chokochoko za jeshi la Marekani dhidi ya Iran
Jun 21, 2019 04:48Baada ya kujitoa kinyume cha sheria katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA, Marekani imekuwa ikitekeleza siasa za 'mashinikizo ya juu zaidi' dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Wajumbe wa Kongresi ya Marekani wamuonya Trump juu ya chokochoko zozote dhidi ya Iran
Jun 21, 2019 03:24Wawakilishi wanne wa Bunge la Kongresi nchini Marekani wamemuonya Rais Donald Trump wa nchi hiyo kuchukua hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya Iran kufuatia kutunguliwa na jeshi la Iran ndege yake ya ujasusi Alkhamisi ya jana, baada ya rais huyo kutoa radiamali kuhusiana na kadhia hiyo.
-
Trump atoa radiamali kufuatia kuatunguliwa droni ya kijasusi ya Marekani
Jun 21, 2019 00:19Rais Donald Trump wa Marekani ametoa radiamali ya kwanza kufuatia kutunguliwa na mfumo wa makombora wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndege ya kijasusi isiyo na rubani ya Marekani ambapo amedai kwamba, eti Iran imefanya kosa kubwa.
-
Udiplomasiia amilifu wa Iran na Uturuki
Jun 20, 2019 03:58Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Mevlüt Çavuşoğlu leo Alkhamisi amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake wa Iran, muhammad javad Zarif katika mji wa Isfahan ambako pande hizo mbili zimejadili masuala ya pande mbili na kikanda.
-
Federica Mogherini asisitiza kulindwa makubaliano ya JCPOA
Jun 20, 2019 03:03Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya amesisitiza kulindwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
China yaitaka Marekani isitishe mashinikizo yake dhidi ya Iran
Jun 19, 2019 21:52China imeionya vikali Marekani kuhusu taathira hasi ya kutangaza kuwa itatuma wanajeshi 1,000 wa ziada katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati); huku ikiitaka Washington ikomeshe mashinikizo yake ya kuchupa mipaka dhidi ya Tehran.
-
Iran: Hatutarefusha muhula wa siku 60 wa EU kufungamana na JCPOA
Jun 19, 2019 08:15Msemaji wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran (AEOI) amesema muda wa siku 60 ambao Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iliupa Umoja wa Ulaya uwe umetekeleza ahadi zake za kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hautarefushwa.