Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Maher Hamoud: Katika miaka 40 iliyopita Palestina imekuwa kadhia muhimu kwa Iran

    Maher Hamoud: Katika miaka 40 iliyopita Palestina imekuwa kadhia muhimu kwa Iran

    Feb 09, 2019 21:46

    Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Muqawama amesisitiza kuwa katika kipindi cha miaka 40 iliyopita Iran imeheshimu na kushikamana na misingi yake ya thamani ikiwemo kuiunga mkono Palestina.

  • Iran yasisitiza udharura wa kuwa na uhusiano mwema na nchi zote duniani

    Iran yasisitiza udharura wa kuwa na uhusiano mwema na nchi zote duniani

    Feb 09, 2019 13:44

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kislamu ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 40 wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini na kusisitiza kuwa: Kuwa na uhusiano wa heshima, wa amani na wa pande kadhaa na nchi za dunia ni miongoni mwa stratijia za Iran.

  • Palestina yasema haitashiriki mkutano wa Marekani wa Warsaw

    Palestina yasema haitashiriki mkutano wa Marekani wa Warsaw

    Feb 09, 2019 04:10

    Palestina imesema licha ya kupokea mwaliko, lakini haitahudhuria mkutano wa hapo tarehe 13 na 14 mwezi huu wa Februari huko Warsaw mji mkuu wa Poland, uliopewa anwani ya "Mkutano wa Amani na Usalama katika Mashariki ya Kati".

  • Iran Itaendelea na shughuli zake za makombora ya kujihami

    Iran Itaendelea na shughuli zake za makombora ya kujihami

    Feb 09, 2019 00:17

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu matamshi yasiyo na msingi ya watawala wa Marekani kuhusu mpango wa Iran wa kurusha satalaiti katika anga za mbali na makombora na kusema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katu haitafanya mazungumzo kuhusu makombora yake ya kujihami.

  • Kiongozi Muadhamu: Maadhimisho ya mwaka huu ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu yatakuwa ya hamasa zaidi

    Kiongozi Muadhamu: Maadhimisho ya mwaka huu ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu yatakuwa ya hamasa zaidi

    Feb 08, 2019 11:19

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kwa kuwa macho wananchi na kwa mahudhurio ya watu wenye mitazamo tofauti maadhimisho ya mwaka huu ya 22 Bahman ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu yatakuwa makubwa na ya hamasa zaidi ikilinganishwa na ya huko nyuma.

  • Baqeri: Vitisho havitaishurutisha Iran ifanye mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora

    Baqeri: Vitisho havitaishurutisha Iran ifanye mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora

    Feb 07, 2019 19:08

    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vitisho vya adui haviwezi kuifanya Iran isalimu amri na kusitisha jitihada zake za kustawisha uwezo wake wa makombora.

  • Vyombo vya habari Marekani: Fikra za Trump kuhusu Iran hazina mlingano, zinafurutu mipaka

    Vyombo vya habari Marekani: Fikra za Trump kuhusu Iran hazina mlingano, zinafurutu mipaka

    Feb 06, 2019 23:27

    Vyombo vya habari vya Marekani vimetangaza kuwa, matamshi yanayotolewa na Rais Donald Trump wa nchi hiyo yanaonesha kuwa, kiongozi huyo ana mitazamo na fikra zisizo na mlingano na za kuchupa mipaka kuhusiana na Iran.

  • Onyo la Iran kwa chokochoko za Israel dhidi ya Syria

    Onyo la Iran kwa chokochoko za Israel dhidi ya Syria

    Feb 06, 2019 03:34

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa nchini Iran ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya kuendelea kuishambulia Syria.

  • Rais Rouhani: Zama za Marekani kuitawala Iran haziwezi kurejea

    Rais Rouhani: Zama za Marekani kuitawala Iran haziwezi kurejea

    Feb 05, 2019 23:44

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kulaani misimamo ya uhasama ya Marekani kwa Iran tangu ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu miaka 40 iliyopita, amesema zama za Washington kuishurutisha na kuitawala Iran zimekwisha na katu haziwezi kurejea.

  • Larijani: Uchaguzi Iran ni hazina muhimu ya demokrasia ya kidini

    Larijani: Uchaguzi Iran ni hazina muhimu ya demokrasia ya kidini

    Feb 05, 2019 23:13

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameutaja uchaguzi hapa nchini kama hazina muhimu ya demokrasia ya kidini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS