Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran: Hatutaki vita, lakini tutajihami kwa nguvu zote

    Iran: Hatutaki vita, lakini tutajihami kwa nguvu zote

    Mar 05, 2025 00:44

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa: Hatufurahishwi na vita na machafuko na wala hatupendi, lakini iwapo adui ataanzisha vita dhidi yetu basi bila ya shaka tutailinda Iran kwa nguvu zetu zote na kutoa jibu kali kwa maadui.

  • Malengo ya Iran ya kuwa na ushirikiano mzuri na majirani zake katika nyuga mbalimbali

    Malengo ya Iran ya kuwa na ushirikiano mzuri na majirani zake katika nyuga mbalimbali

    Mar 03, 2025 06:45

    Majid Takht Ravanchi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na Masuala ya Kisiasa amesema kuhusu mikutano na mazungumzo aliyofanya na maafisa wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) au Imarati kwamba majirani wana nafasi maalumu katika sera za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Kiongozi Muadhamu: Iran inakabiliwa na muungano wa madola ya kinafiki

    Kiongozi Muadhamu: Iran inakabiliwa na muungano wa madola ya kinafiki

    Mar 03, 2025 03:38

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Jamhuri ya Kiislamu haina tatizo na mataifa mengine; lakini hata hivyo inakabiliwa na muungano mpana wa "madola ya kinafiki" yanayojaribu kuingilia mambo yake ya ndani na kuvuruga uhusiano wake wa nje.

  • Pezeshkian: Ramadhani iwe chachu ya kuimarika umoja wa Waislamu

    Pezeshkian: Ramadhani iwe chachu ya kuimarika umoja wa Waislamu

    Mar 03, 2025 03:38

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran sambamba na kuwapongeza viongozi na mataifa ya Kiislamu kwa mnasaba wa kuwadia mwezi mtukufu wa Ramadhani, ametoa mwito kwa nchi za Kiislamu kuutumia mwezi huu wa baraka kama chachu ya kuimarisha umoja, mshikamano na ushirikiano miongoni mwao.

  • Bunge la Iran lapiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri wa Uchumi

    Bunge la Iran lapiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri wa Uchumi

    Mar 02, 2025 09:16

    Wabunge katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) wamepiga kura ya kumuondoa katika wadhifa wake Waziri wa Masuala ya Uchumi na Fedha wa Jamhuri ya Kiislamu, Abdolnaser Hemmati wakati wa kikao cha kupiga kura ya kutokuwa na imani naye.

  • Qalibaf awatakia kheri ya Ramadhani maspika wenzake katika nchi za Kiislamu

    Qalibaf awatakia kheri ya Ramadhani maspika wenzake katika nchi za Kiislamu

    Mar 02, 2025 03:26

    Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amewapongeza maspika wenzake katika nchi za Kiislamu kwa kuwasili mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Kuwa tayari Iran kuimarisha uhusiano na nchi za Kiafrika

    Kuwa tayari Iran kuimarisha uhusiano na nchi za Kiafrika

    Mar 01, 2025 23:03

    Mshauri na Mjumbe Maalumu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ethiopia na kusisitiza kuwa Iran iko tayari kuimarisha uhusiano na Ethiopia na nchi za Kiafrika kwa ujumla.

  • Jeshi la Wanamaji la IRGC: Tutatoa jibu kali kwa tishio lolote

    Jeshi la Wanamaji la IRGC: Tutatoa jibu kali kwa tishio lolote

    Mar 01, 2025 09:27

    Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema: "Kikosi hiki, kinategemea uwezo wa kielimu wa wataalamu wa ndani, na leo hii kina uwezo wa kutoa jibu madhubuti na kali kwa tishio lolote."

  • Tehran yajibu matamshi ya Uturuki dhidi ya Iran

    Tehran yajibu matamshi ya Uturuki dhidi ya Iran

    Mar 01, 2025 03:42

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu matamshi ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Hakan Fidan dhidi ya sera za kieneo za Jamhuri ya Kiislamu na kusisitiza kuwa, nchi hii haibadilishi sera zake kila siku.

  • Baadhi ya Waislamu waanza funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani

    Baadhi ya Waislamu waanza funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani

    Mar 01, 2025 00:25

    Baadhi ya mataifa ya Kiarabu na Kiislamu Jumamosi ya leo yameanza funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS