Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Afrika

  • Mipango na malengo makubwa ya Iran kwa ajili ya kushirikiana na nchi za Kiafrika

    Mipango na malengo makubwa ya Iran kwa ajili ya kushirikiana na nchi za Kiafrika

    Apr 21, 2025 05:41

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeratibu mipango na kuainisha malengo yake kwa ajili ya ushirikiano wa kisiasa na kiuchumi na bara la Afrika.

  • Nigeria yalaaniwa kwa kukandamiza waandamanaji wa Siku ya Quds

    Nigeria yalaaniwa kwa kukandamiza waandamanaji wa Siku ya Quds

    Mar 30, 2025 07:42

    Baraza la Uratibu wa Tablighi ya Kiislamu la Iran limetoa taarifa ya kulaani ukandamizaji waliofanyiwa Waislamu wa Nigeria wakati wa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds na kuandika: "Ukandamizaji na kumwagwa damu za waandamanaji wa Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Nigeria na kuuawa shahidi kidhulma Waislamu 18 waliokuwa kwenye saumu ya Ramadhani kunaonesha hofu ya watawala wa Nigeria kuhusu mwamko wa Waislamuj na nafasi ya kiistratijia ya Siku ya Kimataifa ya Quds duniani."

  • Iran yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua 44 msikitini Niger

    Iran yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua 44 msikitini Niger

    Mar 23, 2025 07:18

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei amelaani vikali shambulio la kigaidi la karibuni dhidi ya msikiti mmoja kusini magharibi mwa Niger.

  • Iran inafuatilia malengo gani katika kupanua uhusiano na nchi za Afrika?

    Iran inafuatilia malengo gani katika kupanua uhusiano na nchi za Afrika?

    Mar 13, 2025 22:58

    Kikao cha kubadilishana mawazo cha Mkutano wa Tatu wa Ushirikiano wa Kiuchumi wa Iran na Afrika kimefanyika mjini Tehran, kwa uratibu wa Shirika la Maendeleo ya Biashara, kikihudhuriwa na mabalozi na wawakilishi wa nchi za Afrika.

  • Kuwa tayari Iran kuimarisha uhusiano na nchi za Kiafrika

    Kuwa tayari Iran kuimarisha uhusiano na nchi za Kiafrika

    Mar 01, 2025 23:03

    Mshauri na Mjumbe Maalumu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ethiopia na kusisitiza kuwa Iran iko tayari kuimarisha uhusiano na Ethiopia na nchi za Kiafrika kwa ujumla.

  • Pezeshkian: Iran inakaribisha kuhuishwa uhusiano wake na Sudan

    Pezeshkian: Iran inakaribisha kuhuishwa uhusiano wake na Sudan

    Feb 19, 2025 08:41

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema Jamhuri ya Kiislamu inakaribisha kwa mikono miwili kurejeshwa kwa uhusiano wa nchi hii na Sudan, akisisitiza kuwa nchi za Kiislamu zinapaswa kuepuka mivutano na kukata uhusiano baina yao.

  • Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran yamebadilisha utaratibu wa dunia: Mhadhiri mwandamizi wa Ghana

    Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran yamebadilisha utaratibu wa dunia: Mhadhiri mwandamizi wa Ghana

    Feb 01, 2025 09:26

    Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Ghana Dk Munir Mustapha amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yamebadilisha mfumo wa dunia na ameyataja kuwa ndiyo yenye nguvu kubwa na ambayo yamekuwa na taathira kubwa imeyozidisha ushawishi wa Iran katika eneo la Magharibi mwa Asia kwa ujumbe wake wa demokrasia ya kidini.

  • Iran yasikitishwa na shambulio la droni lililoua 70 hospitalini Darfur, Sudan

    Iran yasikitishwa na shambulio la droni lililoua 70 hospitalini Darfur, Sudan

    Jan 27, 2025 08:56

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei amelaani shambulio la ndege isiyo na rubani dhidi ya hospitali moja katika mji wa El Fasher katika mkoa wa magharibi wa Darfur nchini Sudan, na kusababisha vifo vya makumi ya watu.

  • Ghalibaf: Changamoto ya uhusiano wa kiuchumi wa Iran na Afrika ni usafiri

    Ghalibaf: Changamoto ya uhusiano wa kiuchumi wa Iran na Afrika ni usafiri

    Jan 17, 2025 03:51

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameyataja matatizo ya usafiri kuwa ni miongoni mwa changamoto kubwa katika kupanua uhusiano wa kiuchumi wa Iran na bara la Afrika akisema: Uwezo wa kimataifa kama wa kundi la BRICS na Shanghai ni fursa muhimu za kustawisha ushirikiano wa kiuchumi.

  • Spika wa Bunge la Iran awasili Ethiopia kwa ziara rasmi

    Spika wa Bunge la Iran awasili Ethiopia kwa ziara rasmi

    Jan 16, 2025 23:50

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amewasili Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia akiongoza ujumbe wa ngazi za juu Bunge kwa mwaliko wa Spika wa Baraza la Wawakilishi la Ethiopia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS