Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Uturuki: Tawi la shirika letu la habari Gaza limehujumiwa kwa kufichua maovu ya Israel

    Uturuki: Tawi la shirika letu la habari Gaza limehujumiwa kwa kufichua maovu ya Israel

    May 12, 2019 02:24

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema ofisi ya shirika la habari la nchi hiyo la Anadolu katika Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu imeshambuliwa na jeshi la utawala haramu wa Israel kwa kufichua 'kazi chafu' na maovu ya utawala huo.

  • Dawa zilizotengenezwa Israel zakutwa mikononi mwa magaidi huko Syria

    Dawa zilizotengenezwa Israel zakutwa mikononi mwa magaidi huko Syria

    May 11, 2019 22:06

    Idadi kubwa ya dawa, silaha na zana za kijeshi zilizoundwa katika utawala wa Kizayuni na kupewa magaidi zimenaswa wakati wa kuwafurusha magaidi hao huko kusini mwa Syria.

  • OIC yaitaka Israel ikabidhi maeneo yote iliyoghusubu ikiwemo Golan

    OIC yaitaka Israel ikabidhi maeneo yote iliyoghusubu ikiwemo Golan

    May 11, 2019 03:21

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ukabidhi maeneo yote ulioyaghusubu ikiwemo Miinuko ya Golan ya Syria.

  • Wapalestina 3 wauawa shahidi na Wazayuni kuelekea Siku ya Nakba

    Wapalestina 3 wauawa shahidi na Wazayuni kuelekea Siku ya Nakba

    May 11, 2019 03:18

    Kwa akali Wapalestina watatu wameuawa shahidi katika wimbi jipya la Maandamano ya Haki ya Kurejea, huku maadhimisho ya Siku ya Nakba ya kumbukumbu ya mwaka wa 71 tangu kukaliwa kwa mabavu Palestina yakijongea.

  • UN: Wapalestina 1,700 wa Gaza katika hatari ya kukatwa miguu

    UN: Wapalestina 1,700 wa Gaza katika hatari ya kukatwa miguu

    May 09, 2019 08:03

    Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imeeleza wasiwasi mkubwa ilionao kutokana na kuzidi kuwa mbaya hali ya kibinadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, na kubainisha kuwa mamia ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza wako katika hatari ya kusababishiwa ulemavu wa maisha kutokana na majeraha ya risasi za jeshi katili la utawala wa Kizayuni.

  • Wapalestina waishukuru Iran kwa kuinua uwezo wa kijeshi wa muqawama

    Wapalestina waishukuru Iran kwa kuinua uwezo wa kijeshi wa muqawama

    May 09, 2019 00:01

    Msemaji Rasmi wa Brigedi ya Quds, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesema kuwa utumiwaji wa makombora aina ya Badr 3, unaonyesha ustawi wa uwezo katika sekta ya kijeshi ya muqawama wa Palestina.

  • Harakati ya Nujaba ya Iraq: Tutaendelea kupambana na Marekani na utawala haramu wa Israel

    Harakati ya Nujaba ya Iraq: Tutaendelea kupambana na Marekani na utawala haramu wa Israel

    May 07, 2019 20:55

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Nujaba nchini Iraq ameitaja Marekani na utawala haramu wa Kizayuni kuwa chanzo cha shari duniani na kusisitiza kwamba wataendeleza mapambano yao dhidi ya shari hizo.

  • Iran: Nchi za Kiislamu zinapaswa kusimamisha mauaji ya Israel dhidi ya Wapalestina

    Iran: Nchi za Kiislamu zinapaswa kusimamisha mauaji ya Israel dhidi ya Wapalestina

    May 07, 2019 03:09

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za Kiislamu zinapaswa kuchua hatua zote kuhakikisha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel unakomesha mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina.

  • Ripoti: Chuki dhidi ya Waisraeli yaongezeka maradufu nchini Marekani

    Ripoti: Chuki dhidi ya Waisraeli yaongezeka maradufu nchini Marekani

    May 03, 2019 09:04

    Ripoti mpya inaonesha kuwa mashambulizi na matamshi ya chuki dhidi ya Mayahudi wanaoishi nchini Marekani yameongezeka maradufu.

  • Hizbullah: Israel itaangamia ikithubutu kuishambulia Lebanon

    Hizbullah: Israel itaangamia ikithubutu kuishambulia Lebanon

    May 03, 2019 03:15

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon ameutahadharisha utawala wa Tel Aviv dhidi ya kuanzisha vita vipya dhidi ya Lebanon na kusisitiza kuwa, wanajeshi wa utawala haramu wa Israel watasambaratishwa na kuangamizwa iwapo vita hivyo vitaibuka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS