• Ripota wa UN: Israel inafanya mauaji ya kimbari Gaza kwa silaha za US, Ulaya

    Ripota wa UN: Israel inafanya mauaji ya kimbari Gaza kwa silaha za US, Ulaya

    Aug 11, 2024 04:05

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa Kuhusu Haki za Binadamu huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu amekosoa vikali hatua ya utawala wa Kizayuni ya kuendelea kufanya mauaji na jinai nyingine za kutisha dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • CAIR yamtaka Biden 'alaani' ugaidi wa kiserikali wa Israel

    CAIR yamtaka Biden 'alaani' ugaidi wa kiserikali wa Israel

    Aug 11, 2024 04:04

    Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limemtaka Rais Joe Biden wa nchi hiyo ajibu na kulaani vitendo vya ugaidi wa kiserikali vinavyofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Qalibaf: Israel haielewi lugha nyingine isipokuwa ya mabavu

    Qalibaf: Israel haielewi lugha nyingine isipokuwa ya mabavu

    Aug 11, 2024 04:03

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imedhamiria kujibu mapigo kwa Israel kufuatia mauaji ya kigaidi ya Ismail Haniyah, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS hapa Tehran akisisitiza kuwa, utumiaji wa nguvu na mabavu ndiyo njia pekee ya kukabiliana na Uzayuni.

  • Iran: Tumeshaandaa mazingira ya kutoa jibu kali dhidi ya Israel

    Iran: Tumeshaandaa mazingira ya kutoa jibu kali dhidi ya Israel

    Aug 10, 2024 10:13

    Mshauri wa masuala ya kisiasa wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei amesema mazingira yameshaandaliwa kwa ajili ya Iran kutoa jibu kali na la kuumiza dhidi ya Israel, kutokana na hatua ya utawala huo wa Kizayuni kumuua shahidi Ismail Haniyah, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS.

  • Israel yaua Wapalestina zaidi ya mia moja na kujeruhiwa makumi kwenye eneo la ibada huko Gaza

    Israel yaua Wapalestina zaidi ya mia moja na kujeruhiwa makumi kwenye eneo la ibada huko Gaza

    Aug 10, 2024 04:00

    Zaidi ya Wapalestina 100 wameuawa shahidi na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mauaji mapya yaliyofanywa na utawala vamizi wa Israel katikati mwa mji wa Gaza alfajiri ya leo, Jumamosi.

  • Iran: Usitishaji vita Ghaza hauna uhusiano wowote na haki yetu ya kujibu mapigo kwa ugaidi wa Israel

    Iran: Usitishaji vita Ghaza hauna uhusiano wowote na haki yetu ya kujibu mapigo kwa ugaidi wa Israel

    Aug 09, 2024 23:59

    Ofisi ya uwakilishi wa kudumu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imesema, haki ya Jamhuri ya Kiislamu ya kulipiza kisasi dhidi ya ugaidi wa Israel ndani ya Iran haina uhusiano wowote na mazungumzo ya kusitisha mapigano yanayoendelea katika Ukanda wa Ghaza.

  • Sanders: Wamarekani hawaungi mkono vita vya kikatili vya Netanyahu

    Sanders: Wamarekani hawaungi mkono vita vya kikatili vya Netanyahu

    Aug 09, 2024 04:13

    Seneta moja mashuhuri nchini Marekani kwa mara nyingine ametoa mwito wa kusitishwa vita mara moja katika Ukanda wa Gaza akisisitiza kuwa, wananchi wa Marekani hawaungi mkono jinai na vita vya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Israel dhidi ya wakazi wa eneo hilo la Palestina lililozingirwa na linalokaliwa kwa mabavu.

  • NAM: Mauaji ya Ismail Haniyah ni kitendo cha kigaidi

    NAM: Mauaji ya Ismail Haniyah ni kitendo cha kigaidi

    Aug 07, 2024 03:21

    Harakati ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) sanjari na kulaani mauaji ya kigaidi ya Ismail Haniyah, Mkuu wa Kisiasa wa Harakati ya Muqawama ya Palestina HAMAS, imeyataja mauaji hayo kama kitendo cha kigaidi.

  • Mahakama: Iran itatumia uwezo wake wote kujibu mauaji ya Haniyah

    Mahakama: Iran itatumia uwezo wake wote kujibu mauaji ya Haniyah

    Aug 06, 2024 22:58

    Msemaji wa Idara ya Mahakama ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itatumia uwezo wake wote kulipiza kisasi cha mauaji ya Ismail Haniyah, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS), akiwa mjini Tehran.

  • Ripoti: Israel imeiba zaidi ya miili 2,000 kutoka kwenye makaburi ya Gaza

    Ripoti: Israel imeiba zaidi ya miili 2,000 kutoka kwenye makaburi ya Gaza

    Aug 06, 2024 08:46

    Vikosi vya jeshi la Israel vimeiba zaidi ya miili 2,000 iliyofukuliwa kutoka kwenye makaburi mbalimbali katika ukanda wa Gaza, huku ripoti kutoka Ofisi ya Vyombo vya Habari ya Serikali ya Gaza zikisema baadhi ya maiti zimerudishwa baada ya majeshi ya Israel "kuvunjia heshima miili" ya marehemu hao.