Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Japan

  • Japan yasisitiza kuendelea kununua mafuta ya Iran

    Japan yasisitiza kuendelea kununua mafuta ya Iran

    Sep 04, 2018 13:42

    Waziri wa Uchumi, Biashara na Viwanda wa Japan amesisitiza kufanyika juhudi za kuendelea kuagiza mafuta kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Hamu ya Korea Kaskazini kuboresha uhusiano wake na Japan

    Hamu ya Korea Kaskazini kuboresha uhusiano wake na Japan

    Aug 28, 2018 07:56

    Mwanzoni mwa mwezi huu, Korea Kaskazini ilimuachilia huru raia wa Japan aliyekamatwa na nchi hiyo kwa tuhuma za kufanya ujasusi.

  • Trump na Shinzo Abe: Tutaendelea kuibana kwa vikwazo Pyongyang

    Trump na Shinzo Abe: Tutaendelea kuibana kwa vikwazo Pyongyang

    Aug 24, 2018 07:56

    Rais Donald Trump wa Marekani na Shinzo Abe, Waziri Mkuu wa Japan wamesema kuwa, wataendeleza vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini ili kutatuliwa kadhia ya silaha za nyuklia katika Rasi ya Korea.

  • Korea Kaskazini yalalamikia undumakuwili wa Marekani katika uga wa nyuklia

    Korea Kaskazini yalalamikia undumakuwili wa Marekani katika uga wa nyuklia

    Aug 06, 2018 12:59

    Serikali ya Korea Kaskazini kupitia gazeti la chama tawala la Rodong Sinmun, imesema kuwa, hatua ya kurefushwa mkataba wa nyuklia kati ya Marekani na Japan ni kitendo kilicho 'dhidi ya ubinaadamu na dhidi ya amani.'

  • Korea Kaskazini yapinga mpango wa Japan wa kuweka ngao ya makombora

    Korea Kaskazini yapinga mpango wa Japan wa kuweka ngao ya makombora

    Jul 30, 2018 04:39

    Serikali ya Korea Kaskazini im imekosoa hatua ya Japan ya kutaka kuweka ngao ya makombora ndani ya nchi hiyo na kuongeza kuwa Shinzō Abe, Waziri Mkuu wa Japan anakusudia kuibadili nchi yake iwe dola lenye nguvu za kijeshi.

  • Waliopoteza maisha katika mafuriko, maporomoko Japan ni zaidi ya watu 140

    Waliopoteza maisha katika mafuriko, maporomoko Japan ni zaidi ya watu 140

    Jul 10, 2018 07:43

    Watu zaidi ya 140 wamepoteza maisha, huku hatima ya makumi ya wengine ikiwa haijulikani kutokana na athari za mvua kubwa zilizonyesha magharibi na katikati mwa Japan.

  • 27 wapoteza maisha katika mafuriko Japan, makumi ya wengine watoweka

    27 wapoteza maisha katika mafuriko Japan, makumi ya wengine watoweka

    Jul 08, 2018 02:25

    Watu wasiopungua 27 wamepoteza maisha, watano wakiwa mahututi na wengine 47 hawajulikani waliko baada ya mvua kali kunyesha magharibi na katikati mwa Japan na kusababisha mafuriko.

  • Ubeberu mpya wa Marekani na majibu makali ya Japan

    Ubeberu mpya wa Marekani na majibu makali ya Japan

    May 19, 2018 04:12

    Ubeberu mpya wa Marekani uliozikasirisha nchi waitifaki na wapinzani wake zikiwemo za Ulaya pamoja na China na Russia, umekuwa mkubwa kiasi kwamba hata Japan na Korea Kusini ambazo ni waitifaki wakubwa wa Washington nao wameshindwa kunyamaza na wametishia kuchukua hatua kali kujibu kuongezewa ushuru bidhaa zao zinazoingia nchini Marekani.

  • Korea Kusini yashangazwa na madai ya Japan kwamba inaitumia Korea Kaskazini mafuta

    Korea Kusini yashangazwa na madai ya Japan kwamba inaitumia Korea Kaskazini mafuta

    May 14, 2018 13:59

    Serikali ya Korea Kusini sambamba na kukanusha madai ya Japan kwamba, inatuma mafuta kwenda Korea Kaskazini kwa siri, imesema kuwa Seoul imefungamana vilivyo na vikwazo vya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya Pyongyang.

  • Syria yataka kusitishwa jinai za kivita za muungano vamizi unaoongozwa na Marekani

    Syria yataka kusitishwa jinai za kivita za muungano vamizi unaoongozwa na Marekani

    May 03, 2018 06:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imemtumia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mwenyekiti wa kiduru wa Baraza la Usalama la umoja huo ikitaka kusitishwa jinai za kivita zinazofanywa na muungano eti wa kimataifa chini ya uongozi wa Marekani dhidi ya taifa la Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS