Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Javad Zarif

  • Zarif: Hakuna uwezekano wowote wa kufanyika mazungumzo kati ya Iran na Marekani

    Zarif: Hakuna uwezekano wowote wa kufanyika mazungumzo kati ya Iran na Marekani

    May 17, 2019 03:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefutilia mbali uwezekano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kufanya mazungumzo na Marekani kuhusu mapatano ya nyuklia yanayofahamika kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.

  • Iran: Israel ndiyo sababu ya migogoro yote ya kibinadamu Asia Magharibi

    Iran: Israel ndiyo sababu ya migogoro yote ya kibinadamu Asia Magharibi

    May 14, 2019 07:52

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndilo chimbuko la migogoro yote ya kibinadamu katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).

  • Zarif: Vikwazo vya Marekani havina athari za kisiasa kwa Iran

    Zarif: Vikwazo vya Marekani havina athari za kisiasa kwa Iran

    May 05, 2019 14:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema vikwazo vya Marekani havina taathira yoyote ya kisiasa kwa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Zarif: Marekani haiwezi kuzuia kustawi uhusiano wa Iran na Iraq

    Zarif: Marekani haiwezi kuzuia kustawi uhusiano wa Iran na Iraq

    Mar 12, 2019 07:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Marekani haina uwezo wa kusimamisha uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Iraq, na kwamba serikali ya Baghdad imejenga uhusiano huo katika misingi ya matakwa na maslahi ya taifa hilo.

  • Zarif: Uhusiano wa Iran na Iraq ni wa kihistoria, Marekani haiwezi kuaminika

    Zarif: Uhusiano wa Iran na Iraq ni wa kihistoria, Marekani haiwezi kuaminika

    Mar 10, 2019 07:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema, Marekani inaishinikiza Iraq ikate uhusiano wake na Iran lakini katu wakuu wa Washington hawatafanikiwa katika hilo.

  • Zarif: Mkutano wa Marekani dhidi ya Iran umefeli hata kabla haujaanza

    Zarif: Mkutano wa Marekani dhidi ya Iran umefeli hata kabla haujaanza

    Feb 10, 2019 14:12

    Waziri wa Mambo ye Nje wa Iran amesema mkutano wa Marekani unaotazamiwa kufanyika nchini Poland katika siku chache zijazo na ulio dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umefeli hata kabla haujaanza.

  • Zarif: Marekani ingali inakiuka haki za Wamarekani weusi

    Zarif: Marekani ingali inakiuka haki za Wamarekani weusi

    Jan 22, 2019 08:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya Marekani ya kumkamata, kumadhalilisha na kumzuilia kinyume cha sheria, mwandishi wa habari wa Press TV, Marzieh Hashemi imeweka bayana tena namna nchi hiyo inavyokiuka haki za kiraia za Wamarekani wenye asili ya Afrika.

  • Zarif: Hakuna dola linaloweza kudai kuwa limehodhi nguvu zote za dunia

    Zarif: Hakuna dola linaloweza kudai kuwa limehodhi nguvu zote za dunia

    Jan 03, 2019 15:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hakuna taifa lolote linaloweza kudai kuwa limehodhi nguvu zote za dunia katika enzi hizi, na kusisitiza kwamba zama za dola moja kufanya maamuzi kwa niaba ya mataifa kadhaa zimepitwa na wakati.

  • Zarif amshangaa Netanyahu kwa kusifia makombora mapya ya Israel

    Zarif amshangaa Netanyahu kwa kusifia makombora mapya ya Israel

    Dec 18, 2018 15:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali kitendo cha Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel cha kuonesha majivuno na kusifia makombora mapya ya utawala huo wa Kizayuni.

  • Zarif: Nguvu na ushawishi wa Marekani duniani unaendelea kufifia

    Zarif: Nguvu na ushawishi wa Marekani duniani unaendelea kufifia

    Dec 14, 2018 16:01

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema jitihada za Rais Donald Trump za kuzishurutisha nchi nyingine zisifanye biashara na Tehran zinaonesha bayana namna uwezo, nguvu na ushawishi wa Marekani duniani unavyofifia na kudhoofika siku baada ya nyingine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS