Jan 22, 2019 08:04
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya Marekani ya kumkamata, kumadhalilisha na kumzuilia kinyume cha sheria, mwandishi wa habari wa Press TV, Marzieh Hashemi imeweka bayana tena namna nchi hiyo inavyokiuka haki za kiraia za Wamarekani wenye asili ya Afrika.