Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Javad Zarif

  • Zarif: Vikwazo vya Marekani havitaiburuza mezani Iran

    Zarif: Vikwazo vya Marekani havitaiburuza mezani Iran

    Nov 20, 2018 08:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vikwazo vya kidhalmu vya Marekani katu haviwezi kuilazimisha Tehran iende kwenye meza ya mazungumzo wala kuifanya isalimu amri mbele ya matakwa ya Washington.

  •  Zarif: Iran itanawiri na haitatoa muhanga mamlaka yake ya kujitawala

    Zarif: Iran itanawiri na haitatoa muhanga mamlaka yake ya kujitawala

    Nov 11, 2018 05:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif ametupilia mbali vitisho vya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kuwa taifa la Iran litakumbwa na njaa.

  • "Orodha ya vikwazo vipya dhidi ya Iran vinaonesha kukanganyikiwa Marekani"

    Nov 06, 2018 08:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema miongoni mwa majina yaliyoko kwenye orodha ya vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Tehran ni benki iliyofungwa miaka sita iliyopita na meli ya mafuta ya Iran iliyozama katika bahari ya China karibu mwaka mmoja uliopita.

  • Zarif: Dunia yote inapinga sera hasi za Marekani dhidi ya Iran

    Zarif: Dunia yote inapinga sera hasi za Marekani dhidi ya Iran

    Nov 04, 2018 08:01

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema sera hasi na maamuzi yanayokiuka sheria za kimataifa ya Marekani yanakabiliwa na upinzani mkubwa katika kila kona ya dunia, huku Washington ikijiandaa kuanza kutekeleza vikwazo vipya dhidi ya Tehran.

  • Zarif: Iran haitapoteza muda kufanya mazungumzo na US

    Zarif: Iran haitapoteza muda kufanya mazungumzo na US

    Oct 02, 2018 08:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran katu haitafanya mazungumzo na Marekani madhali Washington itaendelea kukataa kukumbatia uhalisia wa mambo na muamana.

  • Zarif: Wamarekani wamechoshwa na udhalimu wa viongozi wao

    Zarif: Wamarekani wamechoshwa na udhalimu wa viongozi wao

    Jun 29, 2018 03:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema wananchi wa Marekani wamechoshwa na ufisadi, udhalimu, ukosefu wa uadilifu na kutostahiki watawala wao.

  • Zarif: Kitendo cha Israel kumuua muuguzi wa Kipalestina ni fedha juu fedheha

    Zarif: Kitendo cha Israel kumuua muuguzi wa Kipalestina ni fedha juu fedheha

    Jun 03, 2018 07:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kumuua shahidi muuguzi wa Kipalestina katika Ukanda wa Ghaza, na kuutaja ukatili huo kama doa jingine kwa utawala huo haramu.

  • Zarif: Baadhi ya nchi za Kiarabu hazishughulishwi kabisa na masuala ya ulimwengu wa Kiislamu

    Zarif: Baadhi ya nchi za Kiarabu hazishughulishwi kabisa na masuala ya ulimwengu wa Kiislamu

    May 18, 2018 14:42

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema baadhi ya nchi za Kiarabu zimejikurubisha na kujipendekeza kwa Marekani na utawala wa Kizayuni, na zimepuuza kabisa malengo na changamoto zinazoukabili ulimwengu wa Kiislamu.

  • Zarif aanza safari ya kuzitembelea China, Russia na Brussels kuhusu JCPOA

    Zarif aanza safari ya kuzitembelea China, Russia na Brussels kuhusu JCPOA

    May 13, 2018 07:32

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo Jumapili ameelekea mjini Beijing, katika safari ya kuzitembelea China, Russia na Ubelgiji; ziara yenye lengo la kutathmini utayarifu wa jamii ya kimataifa wa kuihakikishia Iran kuwa itasalia katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, licha ya Marekani kujiondoa kwenye mapatao hayo.

  • Ujumbe Muhimu wa Zarif kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran + VIDEO

    Ujumbe Muhimu wa Zarif kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran + VIDEO

    May 04, 2018 16:33

    Katika Ujumbe wake wa video hapo jana Alkhamisi, Muhammad Jawad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alisema kuwa kuna chaguo moja tu la kufanikisha makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na nchi sita kubwa za dunia, nalo ni Marekani kutekeleza ahadi zake zote kuhusiana na makubaliano hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS