Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Javad Zarif

  • Zarif: Iran itafuata nyayo iwapo US itajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia

    Zarif: Iran itafuata nyayo iwapo US itajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia

    Apr 25, 2018 07:34

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuna uwezekano mkubwa Iran itajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, iwapo Marekani itaamua kujivua kwenye mapatano hayo ya kimataifa ya mwaka 2015.

  • Zarif: Marekani itajuta kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran

    Zarif: Marekani itajuta kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran

    Apr 20, 2018 07:29

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Javad Zarif amesema Tehran ina hatua kadhaa ambazo inaweza kuchukua ambazo zitaifanya Marekani ijute kujiondoa katika mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.

  • Zarif awasili Brazil baada ya kufanya mazungumzo na Rais wa Senegal

    Zarif awasili Brazil baada ya kufanya mazungumzo na Rais wa Senegal

    Apr 10, 2018 07:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili nchini Brazil mapema leo Jumanne katika safari yake ya kiduru ya kuzitembelea nchi kadha za Afrika na Amerika ya Latini.

  • Zarif aanza safari ya kuzitembelea nchi za Afrika, Amerika ya Latini

    Zarif aanza safari ya kuzitembelea nchi za Afrika, Amerika ya Latini

    Apr 08, 2018 07:52

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran leo Jumapili ameanza safari ya kuzitembelea nchi kadhaa za Kiafrika na Amerika ya Latini.

  • Zarif aimbia NAM; Israel ndiyo tishio kuu kwa usalama wa dunia

    Zarif aimbia NAM; Israel ndiyo tishio kuu kwa usalama wa dunia

    Apr 05, 2018 14:55

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndilo tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia huku akitoa mwito wa kuanzishwa uchunguzi wa kimataifa juu ya jinai za utawala huo dhidi ya Wapalestina.

  • Iran: Hatuna chuki na Saudia; iwapo itavamiwa, Tehran itakuwa ya kwanza kuihami

    Iran: Hatuna chuki na Saudia; iwapo itavamiwa, Tehran itakuwa ya kwanza kuihami

    Mar 13, 2018 08:02

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwa bahati mbaya ikitokea Saudi Arabia ikabiliwe na uvamizi wa maajinabi au ugaidi, Tehran itakuwa ya kwanza kujitokeza kuihami na kuisaidia.

  • Zarif: Magaidi wazawa wa Magharibi ndio wanaowaua watoto Syria, Iraq

    Zarif: Magaidi wazawa wa Magharibi ndio wanaowaua watoto Syria, Iraq

    Dec 03, 2017 14:16

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezitaka nchi za Magharibi zitoe ufafanuzi kuhusu ni kwa nini wimbi la watoto wanaozaliwa, kulelewa na kupata elimu katika nchi hizo ndio wanaoongoza katika mauaji yanayofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) dhidi ya watoto wa Syria na Iraq.

  • Iran yalaani vikali  hujuma ya kigaidi msikitini Misri

    Iran yalaani vikali hujuma ya kigaidi msikitini Misri

    Nov 25, 2017 07:49

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hujuma ya kigaidi wakati wa Sala ya Ijumaa msikitini katika mkoa wa Sinai Kaskazini nchini Misri.

  • Zarif akutana na Rais Zuma wa Afrika Kusini, wajadili uhusiano wa pande mbili

    Zarif akutana na Rais Zuma wa Afrika Kusini, wajadili uhusiano wa pande mbili

    Oct 24, 2017 14:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini mjini Pretoria.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran yuko safarini Afrika Kusini

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran yuko safarini Afrika Kusini

    Oct 22, 2017 14:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif leo amewasili Afrika Kusini katika safari yake ya kuzitimbelea nchi kadhaa za bara Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS