• Iran: Muafaka utapatikana Marekani ikizingatia uhalisia wa mambo

    Iran: Muafaka utapatikana Marekani ikizingatia uhalisia wa mambo

    Sep 14, 2022 07:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, ikiwa Marekani itazingatia uhalisia wa mambo, basi makubaliano mazuri, imara na ya kudumu yanaweza kufikiwa kwa uungaji mkono wa pande zote katika mazungumzo ya Vienna.

  • Marandi: Wakati umefika Biden afanye maamuzi magumu

    Marandi: Wakati umefika Biden afanye maamuzi magumu

    Sep 02, 2022 12:09

    Mshauri wa timu ya Iran katika mazungumzo ya nyuklia ya Vienna amesema kuwa, wakati umefika kwa utawala wa Rais Joe Biden wa Marekani kuchukua maamuzi magumu juu ya kuhuishwa makubaliano yanayotarajiwa kufikiwa kuhusiana na kuondolewa vikwazo Iran.

  • Raisi: JCPOA itafufuliwa kwa kusuluhishwa masuala yaliyosalia

    Raisi: JCPOA itafufuliwa kwa kusuluhishwa masuala yaliyosalia

    Aug 29, 2022 11:29

    Rais Ebrahim wa Raisi wa Iran amesema mapatano ya kufufua makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yatafikiwa tu kwa kupatiwa ufumbuzi masuala yaliyosalia baina ya Jamhuri ya Kiislamu na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA.

  • Mossad inakula njama ya kuzuia kufufuliwa JCPOA

    Mossad inakula njama ya kuzuia kufufuliwa JCPOA

    Aug 29, 2022 11:02

    Mkuu wa Shirika la Kijasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel (Mossad) anatazamiwa kuelekea Washington kufanya mikutano kadhaa ya faragha na maafisa wa serikali ya Marekani kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Iran yakosoa mkutano wa NPT kwa kutoshinikiza Israel ijiunge na mkataba huo

    Iran yakosoa mkutano wa NPT kwa kutoshinikiza Israel ijiunge na mkataba huo

    Aug 26, 2022 03:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameukosoa vikali Mkutano wa Kumi wa Kuangalia Upya Maazimio ya Nchi Wanachama wa Mkataba wa Kuziia Uzalishaji na Usambazi za Silaha za Nyuklia NPT unaofanyika huko New York, kwa kukataa kutoa mwito kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kujiunga na mkataba huo wa kimataifa.

  • White House yakataa kuzungumza na Israel kuhusu JCPOA

    White House yakataa kuzungumza na Israel kuhusu JCPOA

    Aug 25, 2022 12:07

    Ikulu ya White House ya Marekani imeripotiwa kulipiga na chini ombi la Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel la kufanya mazungumzo ya simu 'ya dharura' na Rais Joe Biden, kuhusu mazungumzo yaliyko katika hatua za mwisho ya kujaribu kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Majibu ya Marekani kuhusu JCPOA na kuendelea tuhuma zisizo na msingi dhidi ya Iran

    Majibu ya Marekani kuhusu JCPOA na kuendelea tuhuma zisizo na msingi dhidi ya Iran

    Aug 25, 2022 08:06

    Edward "Ned" Price, msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Marekani alisema jana Jumatano kuwa, Washington imetoa majibu kuhusu mitazamo ya Iran juu ya mazungumzo ya kuondolewa vikwazo Tehran. Amesema: Uchunguzi wetu kuhusu mitazamo ya Iran umekamilika na leo (Jumatano) tumekabidhi mapendekezo yetu kwa Umoja wa Ulaya. 

  • Waziri Mkuu wa Israel ajaribu kukwamisha kufufuliwa JCPOA

    Waziri Mkuu wa Israel ajaribu kukwamisha kufufuliwa JCPOA

    Aug 24, 2022 10:50

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameingiwa na kiwewe kutokana na uwezekano mkubwa wa kufikiwa makubaliano ya kuhuisha mapatano ya nyuklia ya JCPOA ndani ya siku chache zijazo.

  • Iran: Hatujapokea jibu la US kuhusu mapendekezo ya Ulaya

    Iran: Hatujapokea jibu la US kuhusu mapendekezo ya Ulaya

    Aug 22, 2022 11:20

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haijapokea majibu kutoka kwa Marekani juu ya mapendekezo yaliyotolewa na Umoja wa Ulaya kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Ulyanov: Vikwazo dhidi ya Iran vitaondolewa karibuni

    Ulyanov: Vikwazo dhidi ya Iran vitaondolewa karibuni

    Aug 16, 2022 07:34

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Taasisi za Kimataifa zenye makao yao mjini Vienna, Austria amesema yumkini vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vitaondolewa karibuni hivi.