Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Majibu ya Marekani kuhusu JCPOA na kuendelea tuhuma zisizo na msingi dhidi ya Iran

    Majibu ya Marekani kuhusu JCPOA na kuendelea tuhuma zisizo na msingi dhidi ya Iran

    Aug 25, 2022 08:06

    Edward "Ned" Price, msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Marekani alisema jana Jumatano kuwa, Washington imetoa majibu kuhusu mitazamo ya Iran juu ya mazungumzo ya kuondolewa vikwazo Tehran. Amesema: Uchunguzi wetu kuhusu mitazamo ya Iran umekamilika na leo (Jumatano) tumekabidhi mapendekezo yetu kwa Umoja wa Ulaya. 

  • Waziri Mkuu wa Israel ajaribu kukwamisha kufufuliwa JCPOA

    Waziri Mkuu wa Israel ajaribu kukwamisha kufufuliwa JCPOA

    Aug 24, 2022 10:50

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameingiwa na kiwewe kutokana na uwezekano mkubwa wa kufikiwa makubaliano ya kuhuisha mapatano ya nyuklia ya JCPOA ndani ya siku chache zijazo.

  • Iran: Hatujapokea jibu la US kuhusu mapendekezo ya Ulaya

    Iran: Hatujapokea jibu la US kuhusu mapendekezo ya Ulaya

    Aug 22, 2022 11:20

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haijapokea majibu kutoka kwa Marekani juu ya mapendekezo yaliyotolewa na Umoja wa Ulaya kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Ulyanov: Vikwazo dhidi ya Iran vitaondolewa karibuni

    Ulyanov: Vikwazo dhidi ya Iran vitaondolewa karibuni

    Aug 16, 2022 07:34

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Taasisi za Kimataifa zenye makao yao mjini Vienna, Austria amesema yumkini vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vitaondolewa karibuni hivi.

  • Amir-Abdollahian: Leo tunakabidihi mapendekezo yetu ya mwisho katika JCPOA

    Amir-Abdollahian: Leo tunakabidihi mapendekezo yetu ya mwisho katika JCPOA

    Aug 15, 2022 12:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, siku zijazo ni siku muhimu kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kwamba Tehran inasubiri uamuzi kutoka upande wa Marekani kuhusu maudhui ya tatu.

  • Kani: Iran iko tayari kuipa Marekani fursa nyingine ya kujirudi

    Kani: Iran iko tayari kuipa Marekani fursa nyingine ya kujirudi

    Aug 01, 2022 02:47

    Kiongozi wa timu ya Iran katika mazungumzo ya nyuklia ya Vienna amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ipo tayari kutamatisha mazungumzo ya kuiondolea vikwazo Tehran haraka iwezekanavyo, sanjari na kuipa Marekani fursa nyingine ya kurekebisha makosa yake.

  • Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran: Kamera za usalama kwa sasa hazitawashwa

    Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran: Kamera za usalama kwa sasa hazitawashwa

    Jul 25, 2022 11:20

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema kuwa, iwapo tuhuma dhidi ya miradi ya nyuklia ya Iran zitaendelezwa hakuna sababu ya kuwepo kamera katika taasisi za nyuklia za Iran.

  • "Marekani ikiwa na irada ya kisiasa kama Iran, makubaliano yatafikiwa"

    Jul 25, 2022 10:49

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haitakubali kushinikizwa juu ya kufikia haraka muafaka wa kujaribu kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Raisi: Azimio la IAEA dhidi ya Iran lilitia doa muamana wa kisiasa

    Raisi: Azimio la IAEA dhidi ya Iran lilitia doa muamana wa kisiasa

    Jul 24, 2022 03:27

    Rais wa Iran amesema azimio dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu katika Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) lilikuwa na taathira hasi kwa muamana na irada ya kisiasa ya pande husika.

  • Biden: Lilikuwa kosa kubwa sana kujitoa katika JCPOA

    Biden: Lilikuwa kosa kubwa sana kujitoa katika JCPOA

    Jul 14, 2022 08:00

    Rais Joe Biden wa Marekani amesema kujitoa nchi yake katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA lilikuwa kosa kubwa sana na akadai kwamba "inapasa turudi tena kwenye JCPOA".

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS