-
Jeshi la Syria lakomboa misikiti mitatu toka mikononi mwa Daesh
Mar 15, 2017 07:08Jeshi na vikosi vya kujitolea vya wananchi wa Syria vimekomboa misikiti mitatu iliyokuwa chini ya udhibiti wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, mashariki mwa mji wa Damascus.
-
Wanajeshi wa Sudan waachiliwa huru kwa upatanishi wa Rais Museveni
Mar 05, 2017 07:39Waasi wa Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Sudan wamewaachilia huru wanajeshi kadhaa wa nchi hiyo waliokuwa wanawashikilia mateka.
-
Jeshi la Nigeria lawashambulia tena Waislamu wa nchi hiyo
Mar 03, 2017 13:41Jeshi na Nigeria pamoja na polisi wa nchi hiyo kwa pamoja wamelishambulia jengo moja la Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo katika mji wa Katsina ulioko kaskazini mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Israel yafanya hujuma mpya za anga Ukanda wa Gaza
Feb 28, 2017 07:52Jeshi la utawala katili wa Israel limefanya mashambulizi mapya ya anga katika Ukanda wa Gaza na kujeruhi watu kadhaa.
-
Rais Barrow amfuta kazi mkuu wa jeshi Gambia na makanda 10
Feb 28, 2017 07:24Rais Adama Barrow wa Gambia amempiga kalamu nyekundu Mkuu wa Jeshi la nchi hiyo, Jenerali Ousman Badjie, pamoja na makamanda wengine 10 wa ngazi za juu wa vikosi vya usalama nchini humo.
-
Waziri ajiuzulu Sudan Kusini, ajiunga na kundi la waasi
Feb 17, 2017 14:35Waziri wa Leba wa Sudan Kusini ametangaza kujiuzulu na kusema kuwa sasa ataunga mkono harakati zinazofanywa na waasi wanaomuunga mkono Riek Machar, Makamu wa Rais wa zamani wa nchi hiyo.
-
11 wauawa katika makabiliano baina ya jeshi la Nigeria na Boko Haram
Feb 17, 2017 14:27Kwa akali watu 11 wameuawa katika makabiliano kati ya vikosi vya serikali na wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram mapema leo katika mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa nchi mwa Nigeria.
-
UN: 100 wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi DRC
Feb 14, 2017 14:39Umoja wa Mataifa umesema jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeua makumi ya watu katika makabiliano na kundi la waasi kati ya Februari 9 na 13.
-
Jeshi la majini la Iran lawatimua maharamia wa Somalia
Feb 13, 2017 15:18Maharamu kutoka Somalia waliojaribu kuteka nyara meli ya mizigo ya Iran wametimuliwa na manwoari za Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Jeshi la Iran lasisitiza udharura wa kulindwa lango la Bab El Mandab
Feb 13, 2017 08:19Kamanda wa Jeshi la Majini la Iran amesema kuwa suala linalopewa umuhimu zaidi na jeshi hilo kwa sasa ni kulinda usalama wa Ghuba ya Aden, Bahari Nyekundu na lango bahari la Bab El Mandab.