Feb 11, 2024 06:55
Baraza la Uhusiano wa Uislamu na Marekani (CAIR) limetangaza katika taarifa yake kuwa: Rais Joe Biden wa Marekani si tu kwamba, ni mtazamaji wa jinai za Israel huko Gaza, bali kwa ukimya wake, ametoa idhini ya kuendelea jinai hizo na ni mshirika katika jinai hizo za Israel.