-
Kenya yatahadharisha juu ya uwezekano wa kufanyika mashambulizi ya kigaidi
Apr 14, 2017 03:43Vyombo vya usalama vya Kenya vimetahadharisha juu ya uwezekano wa kufanyika mashambulizi ya kigaidi nchini humo.
-
SAUTI, mateso ya Wakenya ughaibuni yaifanya idara ya uhamiaji Kenya kupunguza mawakala wanaowafirisha raia wa nchi hiyo kwenda nchi za Kiarabu
Apr 13, 2017 12:31Idara ya uhamiaji nchini Kenya imepunguza mawakala wanaojihusisha na kusafirisha raia wa Kenya kwenda kufanya kazi katika mataifa ya Mashariki ya Kati kutoka 500 hadi 23 katika kile ilichokieleza kuwa ni kuleta uwajibikaji katika shughuli hizo.
-
Nchi za mashariki mwa Afrika zaunda kikosi cha pamoja cha kijeshi
Apr 13, 2017 02:50Nchi 10 za mashariki mwa Afrika zimeunda kikosi cha pamoja cha kijeshi kitakachofahamika kama East Africa Standby Force (EASF).
-
Mahakama Kenya yasimamisha mpango wa kuajiriwa madaktari wa Tanzania
Mar 31, 2017 10:33Mahakama ya Leba nchini Kenya imesimamisha mpango wa serikali wa kuwaajiri mamia ya madaktari kutoka nchi jirani ya Tanzania.
-
Msalaba Mwekundu: Wakenya milioni 3 wanahitajia msaada wa chakula
Mar 28, 2017 12:06Shirika la Msalaba Mwekundu limesema Kenya inahitajia msaada wa dharura wa chakula ili kunusuru maisha ya watu milioni 3 wanaokabiliwa na hatari ya kufa njaa kutokana na kushtadi ukame nchini humo.
-
Wanajeshi wa Kenya wawaangamiza wanamgambo 31 wa al Shabab
Mar 27, 2017 08:58Wanajeshi wa Kenya nchini Somalia wamewauwa wanamgambo 31 wa kundi la kigaidi la al Shabab katika shambulio walilofanya katika kambi mbili za kundi hilo huko Jubbaland kusini mwa Somalia. Hayo yameelezwa leo Jumatatu na jeshi la Kenya.
-
Tanzania kupeleka madaktari 500 Kenya kusaidia kukabiliana na mgomo
Mar 18, 2017 12:32Tanzania itapeleka madaktari 500 Kenya kuisaidia nchi hiyo kukabiliana na athari za mgomo wa madaktari unaoendelea katika hospitali za umma.
-
NASA yatakiwa kutumia mfumo wa mlolongo kumteua mgombea urais Kenya
Mar 16, 2017 10:55Muungano wa upinzani wa NASA nchini Kenya umetakiwa kutumia mfumo wa upigaji kura wa mlolongo kumteua mgomea kiti cha urais.
-
SAUTI: Rais Kenyatta: Sitomtusi mtu tena, mimi ni binaadamu, Lakini mpinzani atakayenichokoza atapata jibu lake kali
Mar 12, 2017 14:25Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amewaomba radhi raia wa nchi hiyo kwa kutumia lugha ya matusi, katika kukabiliana na wapinzani wake majukwaani.
-
Washukiwa 6 wa al Shabab watiwa nguvuni Malindi, Kenya
Mar 11, 2017 13:19Polisi ya kupambana na ugaidi ya Kenya imewatia nguvuni watu 6 wanaoshukiwa kuwa magaidi wa kundi la al Shabab katika mji wa pwani wa Malindi.