Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kipalestina

  • Wanajeshi wa Israel wazuia sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa

    Wanajeshi wa Israel wazuia sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa

    Jul 21, 2017 13:36

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeweka vizingiti chungu nzima kuwazuia Wapalestina kusali sala ya Ijumaa katika msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu huku kijana wa Kiplaestina akifyatuliwa risasi na kuuawa na wanajeshi wa Israel.

  • Wapalestina 90 elfu washiriki Sala ya Idul Fitr katika Msikiti wa Al Aqsa

    Wapalestina 90 elfu washiriki Sala ya Idul Fitr katika Msikiti wa Al Aqsa

    Jun 25, 2017 14:44

    Maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Sala ya Idul Fitr katika Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Wanajeshi wa Israel wawaua shahidi vijana wanne Wapalestina

    Wanajeshi wa Israel wawaua shahidi vijana wanne Wapalestina

    Jun 17, 2017 07:16

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewapiga risasi na kuwaua vijana wanne Wapalestina.

  • Makundi ya muqawama ya Palestina yalaani msimamo wa Mahmoud Abbas wa kuwa tayari kufanya mazungumzo na Netanyahu

    Makundi ya muqawama ya Palestina yalaani msimamo wa Mahmoud Abbas wa kuwa tayari kufanya mazungumzo na Netanyahu

    May 11, 2017 14:57

    Makundi ya muqawama ya Palestina yamelaani na kulalamikia matamshi ya Rais wa Mamlaka ya Ndani Mahmoud Abbas kwamba yuko tayari kukutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Watoto wa Kipalestina waungana kuonyesha mshikamano wao kwa mateka wa Palestina

    Watoto wa Kipalestina waungana kuonyesha mshikamano wao kwa mateka wa Palestina

    Apr 20, 2017 14:18

    Watoto wa Kipalestina wameunda mnyororo wa kibinadamu huko katikati ya mji wa Nablos katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan ili kuonyesha mshikamano wao kwa wafungwa wa Palestina waliogoma kula chakula katika jela za utawala wa Kizayuni.

  • Wanawake wa Ghaza waandamana kuwaunga mkono mateka wa Palestina

    Wanawake wa Ghaza waandamana kuwaunga mkono mateka wa Palestina

    Mar 16, 2017 14:41

    Makumi ya wanawake wa Kipalestina wakazi wa Ukanda wa Ghaza wameandamana katika eneo hilo kuonyesha mshikamamo wao kwa mateka wanawake wa Kipalestina ambao wanashikiliwa katika jela za utawala haramu wa Kizayuni.

  • Askari wa Israel aliyeua Mpalestina afungwa miezi 18

    Askari wa Israel aliyeua Mpalestina afungwa miezi 18

    Feb 21, 2017 14:27

    Askari wa jeshi katili la utawala haramu wa Israel aliyemuua kwa kumfyatuliwa risasi raia wa Palestina, amehukumiwa kifungo cha miezi 18 pekee jela.

  • Wanajeshi wa Israel wamuua shahidi kijana Mpalestina huko Ramallah

    Wanajeshi wa Israel wamuua shahidi kijana Mpalestina huko Ramallah

    Dec 18, 2016 07:36

    Kijana mmoja Mpalestina ameuawa shahidi katika hujuma ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel huko Ramallah katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  •  Hamas yamtaka Mahmoud Abbas asitishe ukandamizaji

    Hamas yamtaka Mahmoud Abbas asitishe ukandamizaji

    Sep 04, 2016 07:30

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetaka kusitishwa ukandamizaji unoafanywa na Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa wanachama wa harakati hiyo.

  • Upinzani wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa muqawama

    Upinzani wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa muqawama

    Sep 04, 2016 03:46

    Maamuzi ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina dhidi ya muqawama wa wananchi wa Palestina yangali yanaendelea; na katika fremu hiyo mamlaka hiyo inatekeleza saisa za kuwapokonya silaha raia wa Palestina wa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS