Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Pyongyang yajibu mapigo, yavurumisha makombora baharini

    Pyongyang yajibu mapigo, yavurumisha makombora baharini

    Mar 10, 2025 11:22

    Korea Kaskazini imevurumisha makombora kadhaa ya balestiki baharini leo Jumatatu, saa chache baada ya wanajeshi wa Korea Kusini na Marekani kuanza mazoezi makubwa ya kijeshi ya kila mwaka ya pamoja, ambayo Pyongyang inayatazama kama majaribio ya uvamizi.

  • Korea Kaskazini: Tutatoa jibu kali kwa maneva ya kijeshi ya Korea Kusini na Marekani

    Korea Kaskazini: Tutatoa jibu kali kwa maneva ya kijeshi ya Korea Kusini na Marekani

    Mar 09, 2025 02:36

    Korea Kaskazini imeionya Seoul na kutishia kuchukua hatua kali iwapo mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya kila mwaka kati ya Korea Kusini na Marekani yataendelea katika wiki zijazo.

  • Pyongyang kufanyia majaribio ICBM wakati wa uchaguzi wa US?

    Pyongyang kufanyia majaribio ICBM wakati wa uchaguzi wa US?

    Oct 31, 2024 02:33

    Korea Kusini imesema yumkini Korea Kaskazini itafanyia majaribio kombora lake jipya la balestiki, lenye uwezo wa kuvuka mabara la ICBM wakati huu wa msimu wa uchaguzi wa rais wa Marekani.

  • UN: Kombora la balestiki la Korea Kaskazini limetumika kushambulia mji wa Kharkiv, Ukraine

    UN: Kombora la balestiki la Korea Kaskazini limetumika kushambulia mji wa Kharkiv, Ukraine

    Apr 30, 2024 07:21

    Wachunguzi wa vikwazo wa Umoja wa Mataifa wameiambia kamati ya vikwazo ya Baraza la Usalama la umoja huo kuwa, mabaki ya kombora yaliyopatikana katika mji wa Kharkiv nchini Ukraine mnamo Januari 2 yanatokana na kombora la balestiki la Korea Kaskazini aina ya Hwasong-11.

  • Kim atabiri: Mashambulio ya Israel yanaandaa mazingira ya kuzuka Vita vya Tatu vya Dunia

    Kim atabiri: Mashambulio ya Israel yanaandaa mazingira ya kuzuka Vita vya Tatu vya Dunia

    Oct 29, 2023 03:01

    Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amesema, mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina yanaandaa mazingira ya kuzuka Vita vya Tatu vya Dunia.

  • Pyongyang: Israel imefanya jinai ya kivita kwa kushambulia hospitali Gaza

    Pyongyang: Israel imefanya jinai ya kivita kwa kushambulia hospitali Gaza

    Oct 27, 2023 02:30

    Korea Kaskazini imelaani vikali shambulio la anga lililofanywa na jeshi la utawala haramu wa Israel dhidi ya Hospitali ya Al Ahli Arab katika Ukanda wa Gaza mnamo Oktoba 17 na kuua mamia ya wananchi wa Paalestina.

  • Balozi wa Korea Kaskazini nchini Russia: Marekani itashindwa huko Ukraine kama ilivyofeli Afghanistan

    Balozi wa Korea Kaskazini nchini Russia: Marekani itashindwa huko Ukraine kama ilivyofeli Afghanistan

    Oct 22, 2023 03:20

    Balozi wa Korea Kaskazini nchini Russia amelaani uungaji mkono na misaada ya kijeshi ya Marekani kwa Ukraine na kusema, mara hii pia Marekani itashindwa na kufeli kama ilivyokuwa huko Afghanistan.

  • Ushirikiano wa Korea Kaskazini na Russia dhidi ya Marekani

    Ushirikiano wa Korea Kaskazini na Russia dhidi ya Marekani

    Oct 21, 2023 11:28

    Katika mazungumzo yake na kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, Sergei Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, wamejadiliana kuhusu uhusiano wa pande mbili na ushirikiano wao wa hivi sasa na kusisitiza juu ya makubaliano yao ya kutatua kidiplomasia masuala yenye utata katika Peninsula ya Korea.

  • Korea Kaskazini yatishia kuishambulia manowari ya kubebea ndege za kivita ya Marekani

    Korea Kaskazini yatishia kuishambulia manowari ya kubebea ndege za kivita ya Marekani

    Oct 15, 2023 02:32

    Korea Kaskazini imeitishia Marekani kwamba itaanzisha "shambulio kali zaidi na la haraka zaidi la kujikinga" dhidi ya zana za kijeshi za nchi hiyo, ikiwa ni pamoja na meli yake ya kivita ya nyuklia iliyoko kwenye maji ya Peninsula ya Korea.

  • Pyongyang: Askari wa US alitorokea Korea Kaskazini kutokana na ubaguzi

    Pyongyang: Askari wa US alitorokea Korea Kaskazini kutokana na ubaguzi

    Aug 17, 2023 03:13

    Serikali ya Pyongyang imesema askari Mmarekani mwenye asili ya Afrika alitorokea Korea Kaskazini kutokana na vitendo vya ubaguzi wa rangi na dhulma alizokuwa akishuhudia ndani ya jeshi la Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS